MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Nipongeze idara ya hali ya hewa kwa kazi kubwa wanayoifanya,
Kwa hali ya hewa ilivyo kwa hapa Korogwe na kulingana na uzoefu wa hivi karibuni juu ya athari za mvua zinazoendelea kunyesha, ni vema wasafiri wanaotumia barabara kuu ya Arusha Dar kupitia Korogwe wakachukua tahadhari kutokana na mvua ya leo.
Hali ikiendelea hivi huenda maji kutoka maeneo ya milima yakafurika kwenye mito nia kusababisha barabara kutopitika.
Ni vema mkapata ushauri juu ya usalama wenu, familia zenu na mali zenu juu ya hali ya usalama kupitia kwa mamlaka zinazohusika hasa kwa hapa Korogwe maana ndipo kumekuwa na shida kwa hapa karibuni.
Kwa uzalendo na nidhamu tunaweza kuuliza hali ya usalama kwa kikosi cha zimamoto 0688918877/0718528958 au mwakilishi wa jeshi la polisi 0652449324.
Lakini pia ni muhimu kufuatilia mitandao mbalimbali kwa ajili ya taarifa sahihi.
Kwa hali ya hewa ilivyo kwa hapa Korogwe na kulingana na uzoefu wa hivi karibuni juu ya athari za mvua zinazoendelea kunyesha, ni vema wasafiri wanaotumia barabara kuu ya Arusha Dar kupitia Korogwe wakachukua tahadhari kutokana na mvua ya leo.
Hali ikiendelea hivi huenda maji kutoka maeneo ya milima yakafurika kwenye mito nia kusababisha barabara kutopitika.
Ni vema mkapata ushauri juu ya usalama wenu, familia zenu na mali zenu juu ya hali ya usalama kupitia kwa mamlaka zinazohusika hasa kwa hapa Korogwe maana ndipo kumekuwa na shida kwa hapa karibuni.
Kwa uzalendo na nidhamu tunaweza kuuliza hali ya usalama kwa kikosi cha zimamoto 0688918877/0718528958 au mwakilishi wa jeshi la polisi 0652449324.
Lakini pia ni muhimu kufuatilia mitandao mbalimbali kwa ajili ya taarifa sahihi.