Robato
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 383
- 233
Sasa watawaambiaje na Polisi juzi tu wameagiza maji mengine ya kuwasha?Kama ni hivyo kwanini wasirudi majimboni basi wakawaambie wananchi sababu ya kutokaa bungeni?
Sasa kule kwenye mabaa wanamuwakilisha nani