Tanzania Railways Corp
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 251
- 595
Swala la msingi hiliWooohhh, hii ni habari njema sana. Sasa nyie TRCMPYA, tupatieni ratiba kamili na viwango vya nauli kwa madaraja. 💪💪
Swala la msingi hili
Can't wait kwakweli, hii taarifa imefanya siku yangu iwe nzuri sanaWacha tukaenjoy adventure hii huku tukiondoa vumbi la Politiki in Nov - Dec to Jan 21 😍😍
leo nimepata sababu ya kwa Nini wewe ni Mataga.sante Magufuli. Akika umetekereza maendereo kwa vitendo.
Can't wait kwakweli, hii taarifa imefanya siku yangu iwe nzuri sana
Acha kabisa 😂 Tena ikiwa safari ya usiku ni nzuri, unafika asubuh unapitiliza kwenye mishe zakoI second your desire kwa kweli Loohh!! Sipati picha uko kwa sleeping class, then sometime uko zako buffet unaenjoy na wananchi kibao tu... it'll be an awesome trip hakika.
Lowassa ni mmasai, wewe kutumia R kwenye L mana yake nini au ulimbukeniAsante Magufuli. Akika umetekereza maendereo kwa vitendo.
Acha kabisa 😂 Tena ikiwa safari ya usiku ni nzuri, unafika asubuh unapitiliza kwenye mishe zako
Hahahaa kabisaYaani, you said it all.. Inakuwa kama umeamka nao R chuga town..🤸♂️🤸♀️
Unateseka?Lowassa ni mmasai, wewe kutumia R kwenye L mana yake nini au ulimbukeni
Hela ndogo tu usiogopekutokea Tanga hadi Arusha nauli yake ni kiasi gani?
na kutokea Moshi hadi Arusha ni kiasi gani?
Swala la msingi hili
Can't wait kwakweli, hii taarifa imefanya siku yangu iwe nzuri sana