Bora tumeutua huu mzigo.
Na ni mzigo haswa,
Bora tumeutua huu mzigo.
Hivyo mkwere huyu alipitia jando? Kwetu kijana akishatahiriwa anakuwa mtu mzima na kuheshimika. Hata maamuzi yake yamekomaa. Mbona maamuzi ya jamaa huyu ni ya kitoto hivi hata watoto wenyewe wanamshangaa!
Wanakwambia tuna mmiss JKAny Update
Baada ya kutoka madarakani hakukua na sababu tena ya kufuatilia.Any Update
Tunataka maendeleo mkuu.Je watanzania tunataka nini? Yule alisafiri tukapiga kelele....
Huyu hasafiri tunapiga kelele....
What exactly do we want??????