Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Amini usi amini takwimu zinazidi kupaa za sharobaro wetu wa magogoni! Anazidi kuigawa dunia mapandemapande vyovyote atakavyo na sasa huyooo kwa Madiba!!
 
Mwache aende coz anajua katiba mpya itaondoa kinga ya raisi mstaafu kutoshitakiwa na ikiwa hivyo kwa madudu aliyoyafanya lazima tumpige ndani. Huwezi amini ndg yangu hamna mwanasiasa niliyewahi kumpenda na kupoteza muda wangu mwingi kumsikiliza kama huyu lkn sasa viceversa is true namchukia huyu jamaa zaidi ya malaria.
 
Juzi juzi tu alikuwa huko south Africa kwa mambo haya haya ya uwekezaji! Hv kwanin asiende mkurugenzi wa EPZA,AU HUYO WA TIC AU HATA WAZIRI WA UWEKEZAJI NA UW EZESHAJI AU MEMBE BASI! Aaaaaah' inakera sana kuwa na raisi kama huyu!

Safari zake zimekuwa nyingi mpaka anayeupdate blogu ya Ikulu kashindwa: Ikulu Mawasiliano
 
Mwache aende coz anajua katiba mpya itaondoa kinga ya raisi mstaafu kutoshitakiwa na ikiwa hivyo kwa madudu aliyoyafanya lazima tumpige ndani. Huwezi amini ndg yangu hamna mwanasiasa niliyewahi kumpenda na kupoteza muda wangu mwingi kumsikiliza kama huyu lkn sasa viceversa is true namchukia huyu jamaa zaidi ya malaria.
Pole sana! Namshukuru mungu mimi nilishamtoa akilini mwangu hata kabla hajaingia magogoni!
 
Mheshimiwa wa magogoni juzi alisafiri kinyemela bila kutuaga waajili wake na kwenda Juba South Sudani kwenye birthday ya taifa hilo!Hiyo ni safari ya 313 ta awe rais wa tz mwaka 2005!
Acha umbea ww dogo...fanya research usikurupuke ni marais wangapi wanafanya ziara...kaz yko ni kuhesabu safari z rais zinakuhusu nn...kama huna huna hoja ondoka jf...au bado una ndoto za slaa kuwa rais nchi hii....acha jk ajinafasi ts tym 4 hm...
 
Acha umbea ww dogo...fanya research usikurupuke ni marais wangapi wanafanya ziara...kaz yko ni kuhesabu safari z rais zinakuhusu nn...kama huna huna hoja ondoka jf...au bado una ndoto za slaa kuwa rais nchi hii....acha jk ajinafasi ts tym 4 hm...

Mkuu weka siasa pembeni, kwa miaka kumi ya kuwa madarakani, kuna uwezekano mkubwa Rais akawa amekaa nje ya nchi kwa mwaka mmoja. Safari za Rais zinatuhusu kwa sababu anatumia kodi zetu kusafiria.
 
Mheshimiwa wa magogoni juzi alisafiri kinyemela bila kutuaga waajili wake na kwenda Juba South Sudani kwenye birthday ya taifa hilo!Hiyo ni safari ya 313 ta awe rais wa tz mwaka 2005!
Mkuu hapo hujajumlisha siku alizospend huko safarin or? Ni safari nyingi sana!
 
Acha umbea ww dogo...fanya research usikurupuke ni marais wangapi wanafanya ziara...kaz yko ni kuhesabu safari z rais zinakuhusu nn...kama huna huna hoja ondoka jf...au bado una ndoto za slaa kuwa rais nchi hii....acha jk ajinafasi ts tym 4 hm...
Unajua ulichokiandika lakini? Nawasi wasi party affiliation feelings zinakutesa!
 
kwa maana hiyo anaelekea kumaliza mwaka akiwa safirini duh hii kali ivi nchi hii haina mawazari wa wizara husika au hawajui lafudhi za huko
 
Kweli this fringe guy doesn't get it na sijui lini kichwa kitaingizwa utanzania. The only thing left ni kumwondoa madarakani, how can we accept these kinds of crimes?
 
Mark my words......Nakuhakikishia before end of July mkuu wa nchi atasafiri tena kwenda nje ya nchi tena sio mara moja, kama kuna anyebisha let's bet a million $$$
You were a bit incorrect, you should have said before the middle of this July. Yuko South Africa.
 
Safari 313 x Siku tatu (kwa wastani) = siku 1,000 (nje ya nchi)

Katika miaka 6 ya utawala JK amekuwa nje ya Ikulu miaka 3!
 
President Jakaya Kikwete is expected to lead a Tanzanian delegation to a business forum in South Africa next Tuesday.Organisers of the event, which will take place in Pretoria, are the Tanzania Investment Forum (TIC), the ministry of Trade and Industry.
 
UVCCM Mkoa wa Pwani walishasema, tena mbele ya Ridhwan kwamba ni zamu yao kula. JK anatekeleza hayo. Mtasema weee mwisho mtalala. Ushauri wangu mwacheni JK afanye apendalo kwa kuwa baadhi yetu wameapa kumtetea mpaka mwisho, lakini msiruhusu rais ajaye awe na uwezo mdogo wa kufikiria kiasi hicho maana tutauwawa kwa uongozi dhaifu.
 
Back
Top Bottom