Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Sijakuelewa mafumbo mafumbo mi siyo mtu wa Pwani, kuwa specificMkuu na uhakika jamaa yako jogogo akishindwa kupanda mtungi ili akupande utasingizia yule shetani wako!
Sijakuelewa mafumbo mafumbo mi siyo mtu wa Pwani, kuwa specificMkuu na uhakika jamaa yako jogogo akishindwa kupanda mtungi ili akupande utasingizia yule shetani wako!
Hata kutokuelewa kwako najua utamsingizia yule shetani wako kumbe ni ujinga wako tuSijakuelewa mafumbo mafumbo mi siyo mtu wa Pwani, kuwa specific
Wacha asafiri tujue, kuliko akope kimyakimya kama wengine 😂 😂 😂Samia amekuwa ni rais wa JMT kuanzia tar. 19 March 2021. Kwa uwezo na kipaji alichojaaliwa na Muumba, kisha weza kusafiri nje ya nchi kama ifuatavyo:
1. Uganda - 11 April 2021
2. Kenya - 4 May 2021
3. Burundi - 15 July 2021
4. Rwanda - 2 August 2021
5. Zambia - 24 August 2021
6. US - 20 September 2021
7. U K (Glasgow) - 30 October 2021
8. Misri - 10 November 2021
9. …………..
Tuendelee kuhuisha idadi hii kadri rais wetu atakavyojaaliwa.
Sasa anazokopa si zinaishia kwenye safari au?Wacha asafiri tujue, kuliko akope kimyakimya 😂 😂 😂
Akope Burundi, Rwanda, Zambia, Kenya na Uganda?Wacha asafiri tujue, kuliko akope kimyakimya 😂 😂 😂
Misri kaenda kukopa?Wacha asafiri tujue, kuliko akope kimyakimya
Maana yake ni kwamba kila mwezi analamba per diem ya kuwa nje ya nchiSamia amekuwa ni rais wa JMT kuanzia tar. 19 March 2021. Kwa uwezo na kipaji alichojaaliwa na Muumba, kisha weza kusafiri nje ya nchi kama ifuatavyo:
1. Uganda - 11 April 2021
2. Kenya - 4 May 2021
3. Burundi - 15 July 2021
4. Rwanda - 2 August 2021
5. Zambia - 24 August 2021
6. US - 20 September 2021
7. U K (Glasgow) - 30 October 2021
8. Misri - 10 November 2021
9. …………..
Tuendelee kuhuisha idadi hii kadri rais wetu atakavyojaaliwa.
Uzi ulijieleza vizuri tu kwamba ni juu ya safari za Rais Samia tangu aingie madarakani. Safari za watumishi wa Wizara kati ya Dar na Dodoma zinaingiaje hapo mpaka unadadisi kwa nini hazikuongelewa kwenye uzi? Kama dukuduku lako ni safari hizo, zianzishie uzi wako. Dukuduku la mtoa hoja ni safari za Rais tangu aingie madarakani. Hustahili kumuuliza kwa nini hakuzungumzia kitu cho chote mbali na alichokizungumzia.Mbona makongamano na trip za Dom to Dar, Dar to Dom kwa wizara na taasisi hamhesabu.
Pia mbona hamhesabu mawaziri wanaokuwa na walinzi nyuma wanapohutubia.
Mkuu,Samia amekuwa ni rais wa JMT kuanzia tar. 19 March 2021. Kwa uwezo na kipaji alichojaaliwa na Muumba, kisha weza kusafiri nje ya nchi kama ifuatavyo:
1. Uganda - 11 April 2021
2. Kenya - 4 May 2021
3. Burundi - 15 July 2021
4. Rwanda - 2 August 2021
5. Zambia - 24 August 2021
6. US - 20 September 2021
7. U K (Glasgow) - 30 October 2021
8. Misri - 10 November 2021
9. …………..
Tuendelee kuhuisha idadi hii kadri rais wetu atakavyojaaliwa.
Ana average ya kusafiri mara kila mwezi. Kama safari zake zina impact kwa manufaa kwa taifa, lakini kama la, wasaidizi wake kama mabalozi na mawaziri wanaweza kufanya kazi niaba yake. Msafara wa Rais nchi za nje sio mchezo. Chukulia mfano msafara alioenda Zambia kwa ajili kuapishwa Rais mpya Hichilema, ni watu wangapi waliongozana naye. Hata wajumbe wa CCM walikuwemo.Samia amekuwa ni rais wa JMT kuanzia tar. 19 March 2021. Kwa uwezo na kipaji alichojaaliwa na Muumba, kisha weza kusafiri nje ya nchi kama ifuatavyo:
1. Uganda - 11 April 2021
2. Kenya - 4 May 2021
3. Burundi - 15 July 2021
4. Rwanda - 2 August 2021
5. Zambia - 24 August 2021
6. US - 20 September 2021
7. U K (Glasgow) - 30 October 2021
8. Misri - 10 November 2021
9. …………..
Tuendelee kuhuisha idadi hii kadri rais wetu atakavyojaaliwa.
Mkuu,Ongeza na hizi ,22 juni 2021 alienda Msumbiji kuhudhuria mkutano wa dharura wa SADC.
16 August 2021 alienda Malawi kuhudhuria mkutano wa SADC.
Samia anapenda kusafiri nje ya nchi ana miezi 8 madarakani lakini mikoa mingi ya Tanzania hajakanyaga.
Ni Vasco da Gama wa kike.
Magufuli alivyoacha kusafiri ilikuwa nongwa kwamba ame-disconnect Tz na dunia, Mama anasafiri ku-connect Tz na dunia inakuwa nongwa Baghosha!Ana average ya kusafiri mara kila mwezi. Kama safari zake zina impact kwa manufaa kwa taifa, lakini kama la, wasaidizi wake kama mabalozi na mawaziri wanaweza kufanya kazi niaba yake. Msafara wa Rais nchi za nje sio mchezo. Chukulia mfano msafara alioenda Zambia kwa ajili kuapishwa Rais mpya Hichilema, ni watu wangapi waliongozana naye. Hata wajumbe wa CCM walikuwemo.
Hujasikia tulikopa kimyakimya!!Misri kaenda kukopa?
Huyu ndio atakuwa rais wa kwanza Tanzania kuondolewa kinga ya kushitakiwa kutokana na namna anavyostawisha chuki na visasi kisha wasaidizi wake wote kuburuzwa mahakamani kwa kesi zitazoainishwa baadaeSamia amekuwa ni rais wa JMT kuanzia tar. 19 March 2021. Kwa uwezo na kipaji alichojaaliwa na Muumba, kisha weza kusafiri nje ya nchi kama ifuatavyo:
1. Uganda - 11 April 2021
2. Kenya - 4 May 2021
3. Burundi - 15 July 2021
4. Rwanda - 2 August 2021
5. Zambia - 24 August 2021
6. US - 20 September 2021
7. U K (Glasgow) - 30 October 2021
8. Misri - 10 November 2021
9. …………..
Tuendelee kuhuisha idadi hii kadri rais wetu atakavyojaaliwa.
Una maana alimkuta Mange Kimambi UN? Alikuwa pia na wafanyabiashara na yake binfsiMkuu,
Niruhusu nisahihishe hiyo namba 6 hivi: Hakwenda US alienda UN. Hakuwa Mgeni wa US alikuwa mjumbe (siyo mgeni) kwenye mkutano wa UN. Did I eliminate any ignorance may be?