sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,028
Toilet paper - Siwezi kujisafisha na yale maji ya vyoo vya kuchimbia dawa.
Vidonge vya Fragyly (endapo tumbo likizingua) na panadol (kichwa kikiuma)
Sinunuagi chakula njiani, huwa kinapkwa asubuhi nakiweka kwenye hotpot
Maombi, haya ni muhimu kabla na baada ya safari.
Kuchaji simu / power bank kwa ajili ya mawasiliano ya uhakika.
Begi lenye nguo na vituvingine navyoweza kununua upya hata vikipotea naliweka kule chini ya bus, kuna kabegi kengine huwa nawekea laptop, pesa, nyaraka, leseni, vyeti, n.k hili huwa nalichunga mwenyewe ndani ya basi.
Vizawadi zawadi, endapo ntafikia kwa ndugu rafiki au jamaa, Ni nani asiependa zawadi, Napenda kununu kitu ambacho napoishi ni bei rahisi ila nakoenda ni ghali ama ni adimu.
Vidonge vya Fragyly (endapo tumbo likizingua) na panadol (kichwa kikiuma)
Sinunuagi chakula njiani, huwa kinapkwa asubuhi nakiweka kwenye hotpot
Maombi, haya ni muhimu kabla na baada ya safari.
Kuchaji simu / power bank kwa ajili ya mawasiliano ya uhakika.
Begi lenye nguo na vituvingine navyoweza kununua upya hata vikipotea naliweka kule chini ya bus, kuna kabegi kengine huwa nawekea laptop, pesa, nyaraka, leseni, vyeti, n.k hili huwa nalichunga mwenyewe ndani ya basi.
Vizawadi zawadi, endapo ntafikia kwa ndugu rafiki au jamaa, Ni nani asiependa zawadi, Napenda kununu kitu ambacho napoishi ni bei rahisi ila nakoenda ni ghali ama ni adimu.