rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Wakuu mimi nikiwa kama Mtanzania mwenye nia nzuri na nchi yangu naomba kujua cost za safari za huyu kiongozi wa nchi hii,jamani imekuwa too much,huwezi kutoka London Leo na Kesho tena ukapanda ndege kwenda Botswana,ina maana huyu mkuu na kundi lake wanatudharau kiasi fulani labda wanajua hatujui gharama za safari zao au labda wanajua hatujui haki yetu kwamba tunaweza kusimamisha hizo safari,nini maana ya Presidency??nilifikiri ni kundi la watu wanaofanya kazi pamoja,kama ni hivyo kwa nini wasitumwe watu ambao hawatatumia gharama kubwa ili kumwakilisha Rais wa nchi hii??nimechukia lakini imebidi niwe mpole!