basi kwa miaka ya JK bajeti ya ikulu imekosewa, watampangiaje safari raisi mwaka mzima kwani yeye ni katibu mkuu ya UN??
Hapo sielewi yaani anafunguka mara moja ndo anakuwa mpiganaji?
Hapo anajikosha kama ni mpiganaji kweli mwambie aendelee kufunguka na mengine sio
kusema mara moja then anafunga mdomo
huyu jamaa kidogo ni tofauti nimemftilia muda mrefu ni mashineTatizo lao ndo hilo.
Huku wanapinga, kwenye eneo wanalotakiwa kutetea nchi kwa kuweka sheria za kulinda haya,
'Wanaunga mkono hoja'
Hii si akili.
Akielezea utumiaji mbaya wa madaraka serikalini na mashirika ya umma filikunjombe amesema nchi nyingine raisi hawezi kusafiri bila ya bunge kuidhinisha safari. Amesema kipigo magamba walichokipata arumeru ni fundisho tosha jinsi wananchi walivyokata tamaa na ccm. Source-kipindi cha jambo leo tbc1