Safari yangu ya siku 100 bila ngono wala punyeto

Haahhahahaha umeniacha hoi mami kwa swali lako

Ila kuongezea kutoka kwenye swali lako ni kwamba tunda ambalo Adamu alikula ji tunda kama matunda mengine tu yaani tunda halisi na si tendo ka ndoa kama wengi waaminivyo

Kwa sababu kama ulivyouliza amri ya kuzaana na kuwa wengi ilitolewa hata kabla amri ya kula tunda haijatoka ikimaanisha kufanya ngono ilikuwa ni ruksa Mungu aliruhusu ili Adamu na Hawa waweze kuzaana

Lakini pia maandiko yanaonesha kuwa Nyoka alimshawishi hawa peke yake Adamu hakuwepo,hivyo hawa alikula tunda peke yake kwanza kisha akaja mume wake akampa naye kala

Kwa muktadha huu basi ni wazi kuwa tunda si tendo la ndoa ila tunda halisi japo maandiko hayataji ni tunda gani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo naelewa mkuu ..lilikuwa ni tunda halisi na si tendo la ngono.
 
Mwaka 2019 ulivoanza nilijiwekea kamkataba kagumu kwamba nisigegede wala kufanya masturbation kwa Siku 100. Ni maamuzi magumu maan nguvu ninazo na sina tatizo lolote, Nimeamua kujitoa kwenye mahusiano kwa hizi siku 100 na kupotezea kabisa vitu vinavyochochea fikra za kingono.

Nipo Siku ya 22 nakaribia kumaliza mwezi sijagegeda ama kumasturbate. Wiki ya kwanza nilikuwa napata shida sana na kuna kipindi nilitaka niwashe gari.

Ex girlfriend wangu alipokuja kunisalimia na tukaanza kukumbatiana na kubusiana nilitaka kushawishika ila namshukuru Mungu hodi ilipigwa mlangoni ndio ilikuwa pona yangu.


Vitu navyo experience hadi sasa ni kwamba

1. Hali ya umakini katika utendaji wa kazi umeongezeka.

2. Kwa sasa hali ya kutunza kumbukumbu imeongezeka sana na nimetumia mwanya huu kuanza kujifunza lugha mpya.

3. Wanawake nimeanza kuwaona kama marafiki ama watu wa kupiga nao stori. Kabla ya hapo wanawake wengi niliokuwa nkikutana nao nlikua naongea nao kwa nia ya kuwagonga na kama wakikataa nilikua sioni umuhimu wa kuendelea kuwa rafiki zao. Kwa sasa nmepata marafiki wapya wa kike tunaongea kama marafiki tu japo kuna wengine nawachomolea wakianza mada za kuniharibia safari yangu.

4. Nimekuwa na Self control. Katika vitu vilivyokua vikinisumbua kucontrol ni ngono. Ngono ilikuwa inanitawala pindi navyopandwa na haja na kuniendesha akili. Kwa sasa nina furaha kwamba siendeshwi na ngono.

5.Roho yangu ina amani kwasababu nimepunguza idadi za dhambi: ni wazi kabisa watu wengi dhambi wanayongoza kuitenda ni kungonoka ukiachana na ngono iliyoruhusuwa kufanyika na wanandoa, pia katika dini ya kikristo kumwaga bao nje ya uke au kulikinga bao kwa condom ni dhambi na hata kumtamani mwanamke kingono ni uzinzi. Kwa kifupi dhambi zangu zimepungua sana kwasababu nimeachana na dhambi iliyokuwa naitenda sana.

6. Natumia muda na pesa vizuri. Kabla ya hii project nilipoteza muda mwingi na pesa ili kukidhi mahitaji yangu ya kufikicha. Nikikutana na mwanamke mwenye mapozi nilikuwa nahonga ili niweze kukidhi fasta hitaji langu la ngono na sometimes nlipoteza hela kijinga ili kununua vifurushi vya internet ili nicheki video za ngono, Muda pia nilipoteza sana katika kuhakikisha nakidhi mahitaji yangu ya ngono.

7. Nimeanza kusoma vitabu. Kuna muda nilikuwaga natumia kufuatilia vitu vya ngono. Sasa hivi huo muda nautumia kusoma vitabu. Jamani vitabu ni muhimu sana kuliko hata filamu.

8. Nguvu za mwili zimeongezeka. Huenda ikawa kwa sababu ngono ya mara kwa mara hudhoofisha mwili.

9. Natumia mda mchache kulala ili kuondoa uchovu, Naamka mapema nikiwa sina hata chembe ya uchovu...kabla ya hii safari nlikuwa nalala sana, nilikuwa naamka bilaa kuoenda kwasababu ya uchovu ...kwa sasa masaa sita yananitosha kabisa kuondoa uchovu tofauti na hapo nyuma nlipokua nalala siku ya jumamosi masaa nane ili niamke bila uchovu

10.Nimeongeza interaction na Jamii: Nlivyoanza hii safari nimeongeza kiwango cha kushiriki viwanja vya mazoezi, kanisani, kujumuika na vijana wenzangu kwenye vijiwe, n.k kabla ya hapo sikushiriki kikamilifu hizi shughuli kwasababu muda mwingi wa mapumziko ulitumika kutafta mademu, kufanya sex na hata nikawa nakatalia wageni kuja kwangu nlipokua nimeleta chombo ndani hio Siku,
haleluyah!
Praise the Lord!
 
Haahhahahaha umeniacha hoi mami kwa swali lako

Ila kuongezea kutoka kwenye swali lako ni kwamba tunda ambalo Adamu alikula ji tunda kama matunda mengine tu yaani tunda halisi na si tendo ka ndoa kama wengi waaminivyo

Kwa sababu kama ulivyouliza amri ya kuzaana na kuwa wengi ilitolewa hata kabla amri ya kula tunda haijatoka ikimaanisha kufanya ngono ilikuwa ni ruksa Mungu aliruhusu ili Adamu na Hawa waweze kuzaana

Lakini pia maandiko yanaonesha kuwa Nyoka alimshawishi hawa peke yake Adamu hakuwepo,hivyo hawa alikula tunda peke yake kwanza kisha akaja mume wake akampa naye kala

Kwa muktadha huu basi ni wazi kuwa tunda si tendo la ndoa ila tunda halisi japo maandiko hayataji ni tunda gani

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunda ni tigo. Shetan alimla hawa tigo na hawa akaenda kumuonjesha adam

Sent using Uncesored Device
 
MREJESHO


Safari iliishia siku ya 68 kwa sababu za mahusiano na Binti wa kipemba yaliyoanza siku ya 47.

Kwa wakati huo nilipokua nikijiizuia kuanzisha mahusiano ya kimapenzi, hali ilikua tofauti kwa sababu binti ndiye aliyetumia nguvu kubwa kuanzisha mahusiano maana licha ya kuwa nunda kwa kile kipindi Huyu binti alipangua mashuti ya ununda wangu na kufanikiwa kuniteka.


Sitaingia kwa kina sana ila hio siku ya 68 huyo binti ilibidi nimuonehse urijali wangu kwasababu alianza kuniona mwanaume wa ajabu

King Victor
Omerta
Money Penny
Smokey D
Kindikinyer Leborosier
Idrisa1510
 
Hahaha ungeweza siku 100 ningeshangaa sana. Mie hata wiki siwez bila kuchuja. Starehe ya masikini ni mapenzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom