Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,744
Sasa wewe Penzi kitovu cha uzem,be mbona ndo umeharibu kabisa?
Asante kwa picha nzuri mkuu, ina sikitisha sana kuona bara bara ni mbovu kiasi tena,Mtwara kumesahulika sana kama kigoma umeme wenye wa shida yaani hadi kero kuishi huko.
nini tena kimeharibika?