Zegreaty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 838
- 393
Ungeenda mpanda kwa Mizengo pinda au mbona hujapita monduli kwa Lowasa ulivyotoka Karatu acha unafiki wewe....maendeleo yaliyopatikana kukiwa chama tawala hakiongozi jimbo ni ishara tosha CDM wakichukua dola mabadiliko yataongezeka maradufu......kama umetumwa na unatumiwa basi jua siku zenu zinahesabika...sasa kabla hamjafikia tamati ungeenda na bagamoyo hadi kijijini Msoga halafu utupe report za huko pia........:rip:CCM.