superfisadi
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 553
- 52
tatizo unapita kujua matatizo piga kambi walau a month vinginevyo utaishia kupata maoni ya dereva au abiria ambayo hayaakisi hali halisi ya matatizo ya hai au kwinginepo unapotalii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana nitapita changaby,magereza,moshi technical,kibosho road,maili sita,mnadani,mashine tools hapo nitakunja hapo mkono wa kulia kuelekea machame,nitastop pale PROTEA HOTEL(hotel ya bwana Mbowe inavyosemekana) then nitaendelea na ziara yangu
tatizo unapita kujua matatizo piga kambi walau a month vinginevyo utaishia kupata maoni ya dereva au abiria ambayo hayaakisi hali halisi ya matatizo ya hai au kwinginepo unapotalii
Ukimaliza kuyaangalia maandamano na matokeo yake, fuatilia hotuba ya Kikwete ya mwezi februari ilivyopokewa na umma. tena fuatilia maombi ya JK kwa tanesco wapunguze bei ya kuwaunganishia wananchi umeme kwa bei 'nafuu' na kisha tufahamishe mafanikio ya JKM kutemebelea wizara
nenda na kanyigo
Hiyo ndio kasi ya maendeleo! Januari Makamba alifanyiwa hayo mwezi nyuma na watu wakarapu walivyotaka. Tusiwe Wabaguzi, Mbunge ni mbunge awe CCM au CHADEMA na wote tuwatendee haki. Kama ni suala la muda mfupi mbona wadogo wake Mbowe wameshafikia mpaka kupeleka Amulance majimboni mwao?Mbowe kaingia sasa ana miezi kama minne hivi na wazazi wako ccm wamekuwa huko miaka karibia hamsini sasa utawezaje kulinganisha miezi na miaka? Vipi kule kwenu ambako mnaabudu ccm mmefikia wapi?
Ama kweli misongo ya mawazo inawaumiza watu humu. Kwani mada kama hii ni ya mwanzo humu na kuchangiwa na watu wengi au tofauti ni kuwa humu tuwe CHADEMA tu? Basi bora anaetaka kujiunga kwanza aeleze namba ya kadi yake ndipo akubaliwe ili kuepusha huko unakokuita kuharibu. Lakini sishangai hiyo chini hapo inajieleza;lets watch up.. .... kuna watu wametoka kwenye maforum ya hovyo hovyo ambayo yamedoda sasa wamekuja humu JF kwa makusudi kuharibu tuu ili JF ikose hadhi na lengo la JF la kujadili burning issues zinazohusu nchi yetu zizamishwe na kupotoshwa ... hebu fikiria hii nayo ni mada au ni mchemsho
Sijui unamaanisha nini unaposema "contribution ya maandamano hayo katika kukwamua wananchi kama hao"umeona eeh? Nitaenda pia kujionea coz huko ndiko maandamano makubwa yalipofanyika so nitakuwa na uwanja mpana kuasses contribution ya maandamano hayo katika kukwamua wananchi kama hao,