Safari ya wana Israel

Bornventure

JF-Expert Member
Jan 29, 2017
529
523
Habarini wanajamvi! Nina swali ndugu zangu;
Hivi wakati wana Israel wanaenda Misri walipita wapi ambapo hawakuvuka bahari ? Na ikawaje wakati wanarudi wakatakiwa kuvuka bahari?
 
Habarini wanajamvi! Nina swali ndugu zangu;
Hivi wakati wana Israel wanaenda Misri walipita wapi ambapo hawakuvuka bahari ? Na ikawaje wakati wanarudi wakatakiwa kuvuka bahari?
Kuna njia ya kupita kwa mguu na kuna njia ya kuvuka baharini...

Ni sawa na mtu anayetaka kwenda Kenya kwa kucross Lake Victoria atafika tuu au kwa kupita kwenye mipaka ya ardhini kama Sirari na Namanga ..

Natumai umeelewa.
 
Nikiangalia hii ramani naona kama haikuwepo sababu ya wao kuelekea bahari ya sham wakati canaan iko karibu sana kwa mwendo wa nchi kavu
Screenshot_20201129-073452.jpg
 
Nikiangalia hii ramani naona kama haikuwepo sababu ya wao kuelekea bahari ya sham wakati canaan iko karibu sana kwa mwendo wa nchi kavuView attachment 1637295
Hawakuwa wakienda kwa akili zao.walikua wanaelekezwa na Mungu kwa wingu,usiku nguzo ya moto.nae Mungu alikua ana kusudi kwanini awapitishie njia hizo..

Mi naifananisha safari ya hawa watu na maisha yetu,wengi tunaona kwa akili zetu kufanikiwa ni chap tu unafanya hivi unapata hapa na pale fasta unafika.lakini kumbe njia unayopangiwa kupitia ni nyingine ambayo matukio yake utayokutana Nayo nia ni kukujenga ndipo ufike kule unapotaka.
 
Back
Top Bottom