Safari ya Ukombozi Imeanza, Washabiki wa Magamba Mtajinyonga?

fredmlay

JF-Expert Member
Apr 30, 2008
1,849
388
Nianze kwa kupongeza jamii ya wanamageuzi nchini kote kwa kuiwezesha CDM kufanikiwa kushinda kiti cha Ubunge Arumeru Mashariki, Viti vya udiwani kirumba Mwanza, Kiwira Mbeya na Lizaboni Songea. Ni ushindi mkubwa na wa kishindo..

Safari ndio kwanza imeanza tusibweteke lengo letu ni kufika bandarini salama yaani kuikomboa nchi toka utawala wa kifisadi.. Tulishuhudia mengi kupitia hizi chaguzi ndogo na kwakweli zimefungua wengi akili na kujionea jinsi utawala dhalimu unavyotumia lugha chafu (LL, Tyson, MN, nk), ubabe na kejeli (BWM), nguvu ya pesa (EL, OleM nk). Matukio yote haya yametufungua macho watanzania wengi na kujua umuhimu wa mageuzi katika maendeleo ya nchi yetu. Kwa mfano fedha iliyokuwa ikitumika kuwapatia waendesha Boda Boda kwenye misafara ya kampeni zingetosha kabisa kutatua angalau kero ya maji/madawati/madawa kwenye kata moja, lakini badala yake zinatumika kurubuni wapiga kura ili udhalimu uendelee kutawala.

Humu jamvini kulikuwa na mitazamo tofauti na lugha za kejeli, mimi binafsi napenda kukumbana na mitazamo tofauti kwani ndiyo inayokufanya kujitathmini na kutafuta mbinu bora zaidi za mafanikio, lakini hatuwezi kuwasahau kwa uchache wana-jamvi wafuatao:- Rejao, Pasco, Ritz, MS na Mtumishi aliyesema yeye atajinyonga CDM wakishinda AM..!Sijui kama tayari ni marehemu lakini nasubiri kusikia mshabiki wa mafisadi kajinyonga kwa Siyoi kuukosa ubunge. Hawa walijua mila, walijua hitaji la wana AM, walijua mafanikio mazuri kwa miaka 50 AM chini ya magamba, walijua umuhimu wa ndoa kwenye ubunge, walijua vema kuwalamba miguu watawala dhalimu sijui ni kwa kiasi gani cha malipo..!

Haya yote ni mapito hivyo yatusaidie kusonga mbele daima.. huu ni mwanzo tu wa M4C hivyo hatuna haja ya kubweteka, safari ni ngumu inahitaji kujitoa mhanga ili kufanikiwa kufika bandarini salama,

Rai yangu kwa wanamageuzi na viongozi kwa ujumla.. nguvu zetu sasa zielekezwe vijijini zaidi na ukanda wa Pwani wote pamoja Dar ambayo imekuwa nyuma kwenye mageuzi nchini. Tukifanikiwa hili tutarajie mashabiki wengi wa magamba/mafisadi kujinyonga.

Mungu ibari Tanzania, ibariki CDM na wanamageuzi wote..:A S-omg:
 
moja sana mkuu!! Maana watu wanadhani kila mara watanganyika watakuwa walewale wakudanganywa na pale wanapoakataa kudanganya wanatumia wahuni kupiga viongozi wetu ili kufanya na kuhalalisha uhuni wao..... Ila watambue watu wameamka.
 
Nianze kwa kupongeza jamii ya wanamageuzi nchini kote kwa kuiwezesha CDM kufanikiwa kushinda kiti cha Ubunge Arumeru Mashariki, Viti vya udiwani kirumba Mwanza, Kiwira Mbeya na Lizaboni Songea. Ni ushindi mkubwa na wa kishindo..

Safari ndio kwanza imeanza tusibweteke lengo letu ni kufika bandarini salama yaani kuikomboa nchi toka utawala wa kifisadi.. Tulishuhudia mengi kupitia hizi chaguzi ndogo na kwakweli zimefungua wengi akili na kujionea jinsi utawala dhalimu unavyotumia lugha chafu (LL, Tyson, MN, nk), ubabe na kejeli (BWM), nguvu ya pesa (EL, OleM nk). Matukio yote haya yametufungua macho watanzania wengi na kujua umuhimu wa mageuzi katika maendeleo ya nchi yetu. Kwa mfano fedha iliyokuwa ikitumika kuwapatia waendesha Boda Boda kwenye misafara ya kampeni zingetosha kabisa kutatua angalau kero ya maji/madawati/madawa kwenye kata moja, lakini badala yake zinatumika kurubuni wapiga kura ili udhalimu uendelee kutawala.

Humu jamvini kulikuwa na mitazamo tofauti na lugha za kejeli, mimi binafsi napenda kukumbana na mitazamo tofauti kwani ndiyo inayokufanya kujitathmini na kutafuta mbinu bora zaidi za mafanikio, lakini hatuwezi kuwasahau kwa uchache wana-jamvi wafuatao:- Rejao, Pasco, Ritz, MS na Mtumishi aliyesema yeye atajinyonga CDM wakishinda AM..!Sijui kama tayari ni marehemu lakini nasubiri kusikia mshabiki wa mafisadi kajinyonga kwa Siyoi kuukosa ubunge. Hawa walijua mila, walijua hitaji la wana AM, walijua mafanikio mazuri kwa miaka 50 AM chini ya magamba, walijua umuhimu wa ndoa kwenye ubunge, walijua vema kuwalamba miguu watawala dhalimu sijui ni kwa kiasi gani cha malipo..!

Haya yote ni mapito hivyo yatusaidie kusonga mbele daima.. huu ni mwanzo tu wa M4C hivyo hatuna haja ya kubweteka, safari ni ngumu inahitaji kujitoa mhanga ili kufanikiwa kufika bandarini salama,

Rai yangu kwa wanamageuzi na viongozi kwa ujumla.. nguvu zetu sasa zielekezwe vijijini zaidi na ukanda wa Pwani wote pamoja Dar ambayo imekuwa nyuma kwenye mageuzi nchini. Tukifanikiwa hili tutarajie mashabiki wengi wa magamba/mafisadi kujinyonga.

Mungu ibari Tanzania, ibariki CDM na wanamageuzi wote..:A S-omg:
Pamoja sana mkuu, watu wa Meru wametuonesha kuwa tukijitahidi tunaweza. Tatizo la magamba wanafikra
yakuwa vijana wengi hawakujiandikisha wakati wazee wanao wategemea hawana shahada. :rockon: :yo:
 
Nadhani hata kwa wana magamba na washabiki wake wote
Watakuwa wamefurahishwa sana na uchaguzi wa Arumeru na matokeo yake
Maana umewapa mwanga wa nguvu ya upinzani
Labda wawe sikio la kufa, lakini uchaguzi huu watautumia kama darasa katika kufanya maamuzi ya nani apewe nafasi ya kuwakilisha bendera ya chama chao.

Sioni haja ya wanamagamba kujinyonga zaidi ya kujifunza hapa.
 
waache tu wajinyonge, mradi tuikumbushe NEC kufuta majina yao kwenye daftari la kudumu, hiyo ni sehemu ya ukombozi!!
 
Nadhani hata kwa wana magamba na washabiki wake woteWatakuwa wamefurahishwa sana na uchaguzi wa Arumeru na matokeo yakeMaana umewapa mwanga wa nguvu ya upinzaniLabda wawe sikio la kufa, lakini uchaguzi huu watautumia kama darasa katika kufanya maamuzi ya nani apewe nafasi ya kuwakilisha bendera ya chama chao.Sihoni haja ya wanamagamba kujinyonga zaidi ya kujifunza hapa.
Lakini Kongosho hawa jamaa kujifunza imekuwa ngumu.. yani mtu yupo radhi kusema nyeusi ni nyeupe na nyeupe ni nyeusi hadharani, mimi naona kama hawataki kubadilika acha wajinyonge kama ndiyo suluhu kwao..
 
Kuingia darasani lazima wameingia kwa uchaguzi huu
Kuelewa somo ni uamuzi wao

Wacha tuone nini kitafuata 2015, sie wananchi tumefungua macho na maskio
Tunasubiri kwa hamu kupiga kura.
Japo bado tunahitaji elimu ya kupiga kura hasa maeneo ya vijijini
Wapiga kura wanakuwa intimidated kwa kiasi fulani na wasimamizi hasa hawa wasiojua kusoma na kuandika.

Lakini Kongosho hawa jamaa kujifunza imekuwa ngumu.. yani mtu yupo radhi kusema nyeusi ni nyeupe na nyeupe ni nyeusi hadharani, mimi naona kama hawataki kubadilika acha wajinyonge kama ndiyo suluhu kwao..
 
user-offline.png
chatu dume

31st March 2012 12:37
#1
JF Senior Expert Member Array


Join Date : 27th February 2011
Posts : 5,423
Rep Power : 1317
Likes Received468
Likes Given2



[h=2]
icon1.png
Chadema kushinda Arumeru ni ndoto za jioni[/h]
Chaguzi ndogo Arumeru unafanyika kesho na mshindi ni CCM, natoa ahadi Chadema wakishinda najinyonga mpaka nakufa tutaona kesho wakati wa kutangaza matokeo.​
 
user-offline.png
chatu dume 31st March 2012 12:37 #1 JF Senior Expert Member Array Join Date : 27th February 2011Posts : 5,423 Rep Power : 1317 Likes Received468Likes Given2 [h=2]
icon1.png
Chadema kushinda Arumeru ni ndoto za jioni[/h]
Chaguzi ndogo Arumeru unafanyika kesho na mshindi ni CCM, natoa ahadi Chadema wakishinda najinyonga mpaka nakufa tutaona kesho wakati wa kutangaza matokeo.​
No Fear asante sana maana wengine hawaamini kuwa hawa vibaraka ni wajinga kiasi kwamba wako tayari kujinyonga kwaajili ya kuwezesha mafisadi kutawala... nilikuwa natafuta post ya Mtumishi nili-bookmark kwenye pc ya mtu nikiipata nitaiweka hapa waone kama ulivyofanya..
 
user-online.png
+255

31st March 2012 12:46
#10
JF Senior Expert MemberArray


Join Date : 1st January 2012
Posts : 419
Rep Power : 397
Likes Received62
Likes Given0


[h=2]
icon1.png
Re: Chadema kushinda Arumeru ni ndoto za jioni[/h]
Ni rahisi mende kuangusha kabati ila si CDM kushinda...​


bucho likes this.


Kweli magamba yakikuathiri akili inaharibika kabisa.. hebu ona huyo naye..
 
Back
Top Bottom