MIMI BABA YENU
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 295
- 679
Historia ya uchapakazi na kujituma ni kati ya mambo mengi yanayotoa tafsiri ya uongozi wa Rais Samia Suluhu. Baada ya ziara yenye mafanikio makubwa Barani Ulaya na katika Falme za Kiarabu, Haya ni baadhi ya makubaliano ya ujenzi wa viwanda nchini kufuatia juhudi za Rais Samia kuvutia wawekezaji nchini;
1. Makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kiwanda cha Fujian Hexingwang Steel Factory.
Makubaliano haya yamesainiwa na kampuni ya Sino Tan Kibaha Industrial Park Ltd na Fujian Hexingwang Industry Tanzania Ltd. Mradi huu una thamani ya USD Milioni 100 na unatarajiwa kuzalisha ajira za moja kwa 2000.
2. Makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kiwanda cha Zion Aluminium Profiles Manufacturing.
Makubaliano haya yamesainiwa kati ya kampuni ya Sino Tan Kibaha Industrial Park Ltd na Wenzhou Zion Decoration Engineering Co. Ltd. Mradi huu una thamani ya USD Milioni 10 ukilenga kutengeneza ajira za moja kwa moja 500.
3. Makubaliano ya ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza vifaa vya ujenzi.
Makubaliano haya yamesainiwa kati ya kampuni ya Sino Tan Kibaha Industrial Park na Group Six International Ltd. Mradi huu una thamani ya USD Milioni 5 na unatarajiwa kuzalisha ajira za moja kwa moja 100.
4. Makubaliano ya ujenzi wa kiwanda cha nguo cha Yelete Clothing.
Makubaliano haya yamesainiwa kati ya kampuni ya Yelete Group na Sino Tan Kibaha Industrial Park. Mradi huu wenye uwezo wa kuzalisha ajira za moja kwa moja 1000 una thamani ya USD Milioni 20.
Pasipo na shaka yoyote ile adhma ya kuhakikisha ajira zinatengenezwa kwa wingi kupitia sekta binafsi inatekelezwa kwa vitendo. Kongole Rais Samia Suluhu Hassan kwa jitihada hizi zenye tija kwa wananchi wako.
Sisi Tumekubali
Kazi inafanyika
1. Makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kiwanda cha Fujian Hexingwang Steel Factory.
Makubaliano haya yamesainiwa na kampuni ya Sino Tan Kibaha Industrial Park Ltd na Fujian Hexingwang Industry Tanzania Ltd. Mradi huu una thamani ya USD Milioni 100 na unatarajiwa kuzalisha ajira za moja kwa 2000.
2. Makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kiwanda cha Zion Aluminium Profiles Manufacturing.
Makubaliano haya yamesainiwa kati ya kampuni ya Sino Tan Kibaha Industrial Park Ltd na Wenzhou Zion Decoration Engineering Co. Ltd. Mradi huu una thamani ya USD Milioni 10 ukilenga kutengeneza ajira za moja kwa moja 500.
3. Makubaliano ya ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza vifaa vya ujenzi.
Makubaliano haya yamesainiwa kati ya kampuni ya Sino Tan Kibaha Industrial Park na Group Six International Ltd. Mradi huu una thamani ya USD Milioni 5 na unatarajiwa kuzalisha ajira za moja kwa moja 100.
4. Makubaliano ya ujenzi wa kiwanda cha nguo cha Yelete Clothing.
Makubaliano haya yamesainiwa kati ya kampuni ya Yelete Group na Sino Tan Kibaha Industrial Park. Mradi huu wenye uwezo wa kuzalisha ajira za moja kwa moja 1000 una thamani ya USD Milioni 20.
Pasipo na shaka yoyote ile adhma ya kuhakikisha ajira zinatengenezwa kwa wingi kupitia sekta binafsi inatekelezwa kwa vitendo. Kongole Rais Samia Suluhu Hassan kwa jitihada hizi zenye tija kwa wananchi wako.
Sisi Tumekubali
Kazi inafanyika