Safari ya Odinga kuingia Ikulu yaiva

KICHAKA

Member
Jun 17, 2009
58
9
Ikiwa leo jaji ocampo kataja majina sita ya watuhumiwa wa uvunjaji wa amani Kenya, ni wazi kukosekana kwa Uhuru Kenyata na Ruto katika kinyang'anyiro hicho kunatoa mwanga kuwa safari ya Raila Odinga ni nyeupe. Kama hilo litakuwa hivyo ni wazi siasa za Kenya hazitakuwa na nguvu licha ya kuwepo katiba mpya na hivyo upo uwezekano wa kufunza nchi nyingine kama Tanzania ambazo nazo baadhi ya viongozi wake wengi wakiwa katika CDM waliamua kwa makusudi kuanza kuiga aina hiyo ya siasa. Kufuatia hali hii ni wazi kuwa Tanzania haitakuwa na kazi ya kubaini waanzilishi wa siasa za vitimbi kama nchi itaingia katika machafuko mwaka 2015 kwa kuwa sura na matendo yao yameanza kujionyesha mapema kabla ya wakati. Ni wazi hili ni funzo kubwa na linaweza kuchukua miaka kama waliolenga kutumia mbinu hii watakapokuwa na kazi ya kuumiza vichwa kutafuta njia nyingine.
 
Ikiwa leo jaji ocampo kataja majina sita ya watuhumiwa wa uvunjaji wa amani Kenya, ni wazi kukosekana kwa Uhuru Kenyata na Ruto katika kinyang'anyiro hicho kunatoa mwanga kuwa safari ya Raila Odinga ni nyeupe. Kama hilo litakuwa hivyo ni wazi siasa za Kenya hazitakuwa na nguvu licha ya kuwepo katiba mpya na hivyo upo uwezekano wa kufunza nchi nyingine kama Tanzania ambazo nazo baadhi ya viongozi wake wengi wakiwa katika CDM waliamua kwa makusudi kuanza kuiga aina hiyo ya siasa. Kufuatia hali hii ni wazi kuwa Tanzania haitakuwa na kazi ya kubaini waanzilishi wa siasa za vitimbi kama nchi itaingia katika machafuko mwaka 2015 kwa kuwa sura na matendo yao yameanza kujionyesha mapema kabla ya wakati. Ni wazi hili ni funzo kubwa na linaweza kuchukua miaka kama waliolenga kutumia mbinu hii watakapokuwa na kazi ya kuumiza vichwa kutafuta njia nyingine.

Am not sure if i follow any of this. Can you be kind enough to elaborate?
 
unacheza wewe..unzijua siasa za kenya au unasikia tu..Odinga hatakaa aje kuwa rais wa kenya kama ilivo kwa maalim Seif huko zanzibar
 
unacheza wewe..unzijua siasa za kenya au unasikia tu..Odinga hatakaa aje kuwa rais wa kenya kama ilivo kwa maalim Seif huko zanzibar

Kasema nani?wewe ndo hutokuja kuwa,wenzio wana bidii,usimlingalishe Raila na Maalim Seif the guy ana strategies,ana imani ya ndani na nje ya Kenya na anaheshimika,in short ni kiongozi mzuri na anayeweka maslahi ya nchi yake mbele si ya Chama.Mungu ampe uzima,he will build a different Kenya and East Africa.
 
Kasema nani?wewe ndo hutokuja kuwa,wenzio wana bidii,usimlingalishe Raila na Maalim Seif the guy ana strategies,ana imani ya ndani na nje ya Kenya na anaheshimika,in short ni kiongozi mzuri na anayeweka maslahi ya nchi yake mbele si ya Chama.Mungu ampe uzima,he will build a different Kenya and East Africa.
Yeye awe na strategy, tactic, game plan or whatever... Kibaki na Kenyatta wa Mungiki, kwisha kazi. Odinga kamwe hatokuwa rais wa Kenya.
 
Back
Top Bottom