Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,178
Wanabodi,
Leo ndio safari ya mwisho ya mwanamazingira maarufu, Prof. Waangari Maathai, ambayo inafanywa kwa 'creamation'.
Tanzania imewakilishwa na Prof. Anna Tibaijuka, aliyemwakilisha Rais Jakaya Kikwete.
Heshima hizo za mwisho, zinafanyikia katika viwanja vya Freedom Corner, jiji Nairobi, na zinaonyeshwa live kupitia, televisheni za KBC, KTN na Citizen, zimemonyesha Prof. Tibaijuka akitoa salamu za Rambirambi kwa lugha ya Kiingereza safi, (Queen English) ila alitangulia kwa salamu ya Kiswahili na kumalizia kwa pole ya Kiswahili.
Anayezungumza sasa ni Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga, na atafuatiwa na Makomo wa Rais, Kilonzo Musyoka na ndipo Rais, Mwai Kibaki atazungumza, zitafuatie heshima za mwisho na safari ya kuelekea Kariakoo creamarium itaanza.
Endelea nami...
Pasco.
Leo ndio safari ya mwisho ya mwanamazingira maarufu, Prof. Waangari Maathai, ambayo inafanywa kwa 'creamation'.
Tanzania imewakilishwa na Prof. Anna Tibaijuka, aliyemwakilisha Rais Jakaya Kikwete.
Heshima hizo za mwisho, zinafanyikia katika viwanja vya Freedom Corner, jiji Nairobi, na zinaonyeshwa live kupitia, televisheni za KBC, KTN na Citizen, zimemonyesha Prof. Tibaijuka akitoa salamu za Rambirambi kwa lugha ya Kiingereza safi, (Queen English) ila alitangulia kwa salamu ya Kiswahili na kumalizia kwa pole ya Kiswahili.
Anayezungumza sasa ni Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga, na atafuatiwa na Makomo wa Rais, Kilonzo Musyoka na ndipo Rais, Mwai Kibaki atazungumza, zitafuatie heshima za mwisho na safari ya kuelekea Kariakoo creamarium itaanza.
Endelea nami...
Pasco.