Nitampa Mama Mzazi wa Godzilla Milioni Tano, nitampa Fid Q ailete kwa Mama Jumatano ili imsaidie kuendelea kuwatunza Wajukuu na kumsaidia kufanya kile alichopanga baada ya kutumia Pesa kwa ajili ya Matibabu ya Godzilla": Mh Paul Makonda Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.
Duh it is so painRC makonda akiwa kambeba mtoto wa marehemu GodzillaView attachment 1024157