Safari ya Mlandizi mpaka Bagamoyo kwa miguu na tulivyonusurika kushambuliwa na Ngiri

yani nimegundua zamani ndo kulikuwa na stori ..maisha ya siku hizi sjui tutakuja kuwasimulia nini wajukuu zetu.. au tunawasimulia ya kina mwijaku na spiderman wa bongo?

nakumbuka zamani wakati hamna tv wala umeme baada ya msosi mnakaa na bimkubwa anawasimulia stori za mwanakijiji flani kauliwa na simba akiwa anaenda kijiji Z wakati akisafiri kupeleka dagaa mnadani kwa baiskeli over 100kms..stori za flani kufyekwa na maji ya mto..siku hizi mzazi smartphone, mtoto yupo kwenye playstation.
Sa hivi technology inabadili kila kitu sa hivi ili uwe sehemu ya jamii lazima uwe kwenye social media kama facebook, insta nk bila ivyo utakuwa mpweke na metaverse ikija itakuwa balaa
 
Ngiri ni muoga kushinda chochote. Watu tumesafiri pori hasa. Nilishatembea kutoka kijiji kimoja kinaitwa CHABIMA KIlosa huko mpaka Kilosa mjini. Yaani kijiji hakina gari hata kwa bahati mbaya mnaweza kukaa hata miaka mitatu hakuna gari. Unatoka CHABIMA unaenda LUMUMA kutokezea Kidete ndio mnapanda Treini ni mwendo wa pori hasa. Njiani unapishana na kinyesi kibichi na Tembo na Abeid Mziba. Siku hizi mtu kutoka kariakoo kwenda Kimara anapanda gari. Zamani pori pori.
 
Hii Barabara ina Fursa yeyote jamani.
Fursa zipo tafuta shamba ufuge mifugo(kuku, ng'ombe wa maziwa,samaki nk),then unauza Mlandizi na Dar es salaam.
Vilevile unaweza kulima minazi,minazi Ni biashara kubwa iliyosahaulika.
Tembelea page za mitandao ya kijamii ya Vitabu vya Kilimo ujifunze zaidi.
 
Fursa zipo tafuta shamba ufuge mifugo(kuku, ng'ombe wa maziwa,samaki nk),then unauza Mlandizi na Dar es salaam.
Vilevile unaweza kulima minazi,minazi Ni biashara kubwa iliyosahaulika.
Tembelea page za mitandao ya kijamii ya Vitabu vya Kilimo ujifunze zaidi.
Ahsante.
 
Huyo hakuwa ngiri. Ngiri nguruwe poli hana ujanja,kwamza alipowaona angekimbia kujificha. Hata hivyo unasema uliona kama ng'ombe,ngiri hana ukubwa wa ng'ombe
 
Back
Top Bottom