Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Wakubwa,
Leo nimeanza safari ya miaka 2 ya kusoma Diploma ya ICT katika chuo fulani nchini Tanzania.
Kwa kuwa hii fani ni pana,ningeomba wajuzi wa hii kitu wanijuze ni mambo yapi natakiwa Niyajue baada ya kuhitimu.hivyo naomba wataalam mnisaidie kwa hilo.
Iwapo mungu ataniweka hai nitarejea katika hii post baada ya miaka hiyo miwili.
Note:Nasoma ili nipate ujuzi siyo karatasi(cheti)
Nasubiri
Leo nimeanza safari ya miaka 2 ya kusoma Diploma ya ICT katika chuo fulani nchini Tanzania.
Kwa kuwa hii fani ni pana,ningeomba wajuzi wa hii kitu wanijuze ni mambo yapi natakiwa Niyajue baada ya kuhitimu.hivyo naomba wataalam mnisaidie kwa hilo.
Iwapo mungu ataniweka hai nitarejea katika hii post baada ya miaka hiyo miwili.
Note:Nasoma ili nipate ujuzi siyo karatasi(cheti)
Nasubiri