Safari ya miaka 2 kusoma Diploma ya ICT imeanza Leo !

Rutunga M

JF-Expert Member
Mar 16, 2009
1,769
1,382
Wakubwa,

Leo nimeanza safari ya miaka 2 ya kusoma Diploma ya ICT katika chuo fulani nchini Tanzania.
Kwa kuwa hii fani ni pana,ningeomba wajuzi wa hii kitu wanijuze ni mambo yapi natakiwa Niyajue baada ya kuhitimu.hivyo naomba wataalam mnisaidie kwa hilo.

Iwapo mungu ataniweka hai nitarejea katika hii post baada ya miaka hiyo miwili.

Note:Nasoma ili nipate ujuzi siyo karatasi(cheti)
Nasubiri
 
kumbe sio mdogo wako?
Tafuta mtaala wa chuo husika, utajua yakupasayo kujifunza. Pia field of interest ni muhimu kama SE, Networking, DBMS Admin et al
 
Wakubwa,

Leo nimeanza safari ya miaka 2 ya kusoma Diploma ya ICT katika chuo fulani nchini Tanzania.
Kwa kuwa hii fani ni pana,ningeomba wajuzi wa hii kitu wanijuze ni mambo yapi natakiwa Niyajue baada ya kuhitimu.hivyo naomba wataalam mnisaidie kwa hilo.

Iwapo mungu ataniweka hai nitarejea katika hii post baada ya miaka hiyo miwili.

Note:Nasoma ili nipate ujuzi siyo karatasi(cheti)
Nasubiri
Diploma ya ICT unakuwa bado una mambo mengi ya kujifunza na inategemea Diploma hiyo ina contents zipi ila cha msingi katika masomo yako jaribu kufuata mkondo kati ya hii ifuatayao maana ICT ni pana sana.
1. Computer Programming - uwezo wa kuandika application softwares kwa kutumia lugha za kumputa, unatakiwa uwe mwerevu hasa kwenye logics, hesabu kwa ujumla ( Hii haina siko may be uwe mwalimu)
2. Data Base Programming - uwezo wa kuandika Database kwa kutumia lugha za nne za komputer ( Hii ina soko sana kwa sasa) hapa unakutana na programs kama Oracle, Visual Basic, SQL nk
3. Network Systems - Hapa utajifunza ujuzi wa ku install servers, routers, switches na mawasiliano kwa komputer kwa ujumla,
kuna mitihani ya Microsoft na Cisco unaweza kufanya ili kujipima ujuzi wako. ( Hii ina soko sana hasa kwa makampuni ya kugawa internet (Internet Service Providers), Kwenye mabenki vitengo cha ICT hasa security systems, Makampuni ya Simu kama VODA, TIGO, ZAIN nk
Kifupi ukifuata mkondo huu unatakiwa uwe mwerevu, mdadisi na unayependa kujifunza hasa logics. ( Hii ina market kubwa sana)
4. Web Designing -- hii ni kutengeneza web pages, blogs na vitu kaa hizo -- kwa mafano unapofungua hii JF basi kumbuka kuna designing imefanyika ya hali ya juu. ( Hii ina market kubwa sana)

Diploma Level hiyo ya miaka miwili watakufundisha kidogo kidogo kwenye mambo hayo 4 si detailed, kinachotakiwa wewe ndiyo uchague mkondo utakaoupenda na kujisomea zaidi na zaidi bila kuchoka ili ukimaliza Diploma yako basi unaweza either kujiajiri au kufanya kazi fupi kwa malipo. Kuajiriwa kwa kudumu ukiwa na Diploma level si rahisi kwa sasa.

Nakutakia maisha mema na hongera sana kuchagua ICT ingawa kozi hii ni pana sana kuliko vile watu wengi wanafikiria.

 
Diploma ya ICT unakuwa bado una mambo mengi ya kujifunza na inategemea Diploma hiyo ina contents zipi ila cha msingi katika masomo yako jaribu kufuata mkondo kati ya hii ifuatayao maana ICT ni pana sana.
1. Computer Programming - uwezo wa kuandika application softwares kwa kutumia lugha za kumputa, unatakiwa uwe mwerevu hasa kwenye logics, hesabu kwa ujumla ( Hii haina siko may be uwe mwalimu)
2. Data Base Programming - uwezo wa kuandika Database kwa kutumia lugha za nne za komputer ( Hii ina soko sana kwa sasa) hapa unakutana na programs kama Oracle, Visual Basic, SQL nk
3. Network Systems - Hapa utajifunza ujuzi wa ku install servers, routers, switches na mawasiliano kwa komputer kwa ujumla,
kuna mitihani ya Microsoft na Cisco unaweza kufanya ili kujipima ujuzi wako. ( Hii ina soko sana hasa kwa makampuni ya kugawa internet (Internet Service Providers), Kwenye mabenki vitengo cha ICT hasa security systems, Makampuni ya Simu kama VODA, TIGO, ZAIN nk
Kifupi ukifuata mkondo huu unatakiwa uwe mwerevu, mdadisi na unayependa kujifunza hasa logics. ( Hii ina market kubwa sana)
4. Web Designing -- hii ni kutengeneza web pages, blogs na vitu kaa hizo -- kwa mafano unapofungua hii JF basi kumbuka kuna designing imefanyika ya hali ya juu. ( Hii ina market kubwa sana)

Diploma Level hiyo ya miaka miwili watakufundisha kidogo kidogo kwenye mambo hayo 4 si detailed, kinachotakiwa wewe ndiyo uchague mkondo utakaoupenda na kujisomea zaidi na zaidi bila kuchoka ili ukimaliza Diploma yako basi unaweza either kujiajiri au kufanya kazi fupi kwa malipo. Kuajiriwa kwa kudumu ukiwa na Diploma level si rahisi kwa sasa.

Nakutakia maisha mema na hongera sana kuchagua ICT ingawa kozi hii ni pana sana kuliko vile watu wengi wanafikiria.


Hapo Kweli kabisa, cha kuongezea; Hali ya masoko, isiwe issue sana kwako, kwani ICT waweza kujiajiri mwenyewe, ukijitahidi hata hio diploma inaweza kukupa upeo mkubwa. Watanzania tusiwe na mawazo ya kizamani kuwa " kusoma ndio kupata kazi!" karne ya sasa, uchumi unajengwa na wanaoji ajiri!!!, Mwisho usiseme kuwa tutaonana baada ya kumaliza hio kozi, jaribu sana ukipata nafasi uwe uki "Browse Internet" na kutembelea hili Jukwaa kwani ICT ina kasi kubwa sana kila kukicha!!!
 
Ingekuwa vizuri utaje mtaaala wa hiyo diploma ili wadau wakueleze wapi pa kukomaa la sivyo utaamabiwa mambo amabyo hayapo covered kwenye mtaala wako.
 
Kuna mdogo wangu yupo Nzega anataka kusoma Diploma ya ICT lakini ana HKL na o-level alikuwa na F ya Basic Maths na Physics. Je anaweza pata chuo? Naomba nijuzwe wadau, maana dogo kanikomalia kinoma ila nakuwa cna mzuka kutokana na performance yake ya masomo ya sayansi. Msaada plizzz!
 
<font size="3">Diploma ya ICT unakuwa bado una mambo mengi ya kujifunza na inategemea Diploma hiyo ina contents zipi ila cha msingi katika masomo yako jaribu kufuata mkondo kati ya hii ifuatayao maana ICT ni pana sana.<br />
<b>1.</b> <b>Computer</b> <b>Programming </b>- uwezo wa kuandika application softwares kwa kutumia lugha za kumputa, unatakiwa uwe mwerevu hasa kwenye logics, hesabu kwa ujumla ( Hii haina siko may be uwe mwalimu)<br />
<b>2.</b> <b>Data Base Programming </b>- uwezo wa kuandika Database kwa kutumia lugha za nne za komputer ( Hii ina soko sana kwa sasa) hapa unakutana na programs kama Oracle, Visual Basic, SQL nk<br />
<b>3. Network Systems </b>- Hapa utajifunza ujuzi wa ku install servers, routers, switches na mawasiliano kwa komputer kwa ujumla, <br />
kuna mitihani ya Microsoft na Cisco unaweza kufanya ili kujipima ujuzi wako. ( Hii ina soko sana hasa kwa makampuni ya kugawa internet (Internet Service Providers), Kwenye mabenki vitengo cha ICT hasa security systems, Makampuni ya Simu kama VODA, TIGO, ZAIN nk<br />
Kifupi ukifuata mkondo huu unatakiwa uwe mwerevu, mdadisi na unayependa kujifunza hasa logics. ( Hii ina market kubwa sana)<br />
<b>4. Web Designing </b>-- hii ni kutengeneza web pages, blogs na vitu kaa hizo -- kwa mafano unapofungua hii JF basi kumbuka kuna designing imefanyika ya hali ya juu. ( Hii ina market kubwa sana)<br />
<br />
Diploma Level hiyo ya miaka miwili watakufundisha kidogo kidogo kwenye mambo hayo 4 si detailed, kinachotakiwa wewe ndiyo uchague mkondo utakaoupenda na kujisomea zaidi na zaidi bila kuchoka ili ukimaliza Diploma yako basi unaweza either kujiajiri au kufanya kazi fupi kwa malipo. Kuajiriwa kwa kudumu ukiwa na Diploma level si rahisi kwa sasa.<br />
<br />
Nakutakia maisha mema na hongera sana kuchagua ICT ingawa kozi hii ni pana sana kuliko vile watu wengi wanafikiria. <br />
<br />
</font>
<br />
<br />
Mkuu nimependa sana ulivyo ielezea ICT japo kwa kifupi tu.
 
ungesema ni chuo gani itusadie na sisi wengine tulio na intrest ya kusoma ICT lkn hatujapata mwanga wa kutosha.
 
tehe nilipiga Java 2001 - 2002. niliandika Codes mpaka vidole viliuma. SQL database adminstration. ICT bomba sana kijana kaza uzi
 
Diploma ya ICT unakuwa bado una mambo mengi ya kujifunza na inategemea Diploma hiyo ina contents zipi ila cha msingi katika masomo yako jaribu kufuata mkondo kati ya hii ifuatayao maana ICT ni pana sana.
1. Computer Programming - uwezo wa kuandika application softwares kwa kutumia lugha za kumputa, unatakiwa uwe mwerevu hasa kwenye logics, hesabu kwa ujumla ( Hii haina siko may be uwe mwalimu)
2. Data Base Programming - uwezo wa kuandika Database kwa kutumia lugha za nne za komputer ( Hii ina soko sana kwa sasa) hapa unakutana na programs kama Oracle, Visual Basic, SQL nk
3. Network Systems - Hapa utajifunza ujuzi wa ku install servers, routers, switches na mawasiliano kwa komputer kwa ujumla,
kuna mitihani ya Microsoft na Cisco unaweza kufanya ili kujipima ujuzi wako. ( Hii ina soko sana hasa kwa makampuni ya kugawa internet (Internet Service Providers), Kwenye mabenki vitengo cha ICT hasa security systems, Makampuni ya Simu kama VODA, TIGO, ZAIN nk
Kifupi ukifuata mkondo huu unatakiwa uwe mwerevu, mdadisi na unayependa kujifunza hasa logics. ( Hii ina market kubwa sana)
4. Web Designing -- hii ni kutengeneza web pages, blogs na vitu kaa hizo -- kwa mafano unapofungua hii JF basi kumbuka kuna designing imefanyika ya hali ya juu. ( Hii ina market kubwa sana)

Diploma Level hiyo ya miaka miwili watakufundisha kidogo kidogo kwenye mambo hayo 4 si detailed, kinachotakiwa wewe ndiyo uchague mkondo utakaoupenda na kujisomea zaidi na zaidi bila kuchoka ili ukimaliza Diploma yako basi unaweza either kujiajiri au kufanya kazi fupi kwa malipo. Kuajiriwa kwa kudumu ukiwa na Diploma level si rahisi kwa sasa.

Nakutakia maisha mema na hongera sana kuchagua ICT ingawa kozi hii ni pana sana kuliko vile watu wengi wanafikiria.

wewe ni mdau mzuri, tanzania bado sana kwenye ict, changamkieni fursa hiyo vijana
 
Mimi nina D ya hesabu o-level na kupata Division 2,nikachukua HGE A-level nikapata S ya hesabu na Division 3,ingawaje nilichukua uhasibu chuo na sijapata kazi ila ninapenda sana kujua ICT computer kwa ujumla!Je nikiomba vyuo vikuu naweza kuanzia na level ipi kwa maana ya certificate ama degree?
 
Back
Top Bottom