madasafari ya matumaini ya timu mbovu ya man utd inafikia ukongoni leo kwani celta vigo watashinda 2-0 na kuiacha man u ikikosa nafasi ya kuingia fainali.
Jana imeshushwa hadi nafasi ya 6 baada ya arsenal kushinda na kupata pointi 3 muhimu.
Hivyo safari ya matumaini ya man utd kushiriki uefa inahitimishwa leo. Huu ni ukweli ambao ni mchungu.
safari ya matumaini ya timu mbovu ya man utd inafikia ukongoni leo kwani celta vigo watashinda 2-0 na kuiacha man u ikikosa nafasi ya kuingia fainali.
Jana imeshushwa hadi nafasi ya 6 baada ya arsenal kushinda na kupata pointi 3 muhimu.
Hivyo safari ya matumaini ya man utd kushiriki uefa inahitimishwa leo. Huu ni ukweli ambao ni mchungu.