kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Natafakari safari ya Mama Samia kwenda Tanga, najiuliza alirejea lini Dar, najiuliza kwanini safari ya Waziri Mkuu ilifutwa ya Makamu ikawepo?
Haya maswali yananifanya niamini nchi inapita kipindi kigumu ambacho ratiba za wanadamu na mipango ya wanadamu haiwezi kutimia bali mipango ya Mwenyenzi Mungu ndiyo inabaki kutimia.
Hata Kama wapo wenye uchu wa madaraka Basi Mungu aliwapa upofu na ametushindia tunasonga mbele na niombe azidi kumpa nguvu mama avuke siku mia baada ya mazishi naamini atakuwa amemaliza kutengeneza safu na kuwawajibisha wale wote waliotumwa na movu shetani kutaka kuharibu jina zuri la Tanzania.
HONGERA Tanzania Mwenyenzi Mungu tupo nawe Sasa na hata milele. Amen
Haya maswali yananifanya niamini nchi inapita kipindi kigumu ambacho ratiba za wanadamu na mipango ya wanadamu haiwezi kutimia bali mipango ya Mwenyenzi Mungu ndiyo inabaki kutimia.
Hata Kama wapo wenye uchu wa madaraka Basi Mungu aliwapa upofu na ametushindia tunasonga mbele na niombe azidi kumpa nguvu mama avuke siku mia baada ya mazishi naamini atakuwa amemaliza kutengeneza safu na kuwawajibisha wale wote waliotumwa na movu shetani kutaka kuharibu jina zuri la Tanzania.
HONGERA Tanzania Mwenyenzi Mungu tupo nawe Sasa na hata milele. Amen