barafu bna .unajuaga kunihuzunisha ila nikikuomba unitoe hapa nchini hata nikawe beki tatu kwa dk slaa huko hutaki.sawa tu acha nife katika udhalimu
Hebu toka hapa bana!Malumbano wanaoanzisha ni chadema wenyewe..wakijibiwa wanaona wanaonewa..ndugai alielezea taifa wingi wa risasi alizopigwa lisu kwenye gari..kubenea akasema ndugai muongo..wakati kitendo tu cha kutaja wingi kule wa risasi ilibidi mumpongeze..maana angeweza pia kukaa kimya..kamsema zito bungeni..zito akagusia lisu..wakati lisu hausiki..Lema nae anamshutumu kuhusu lissu..
Sasa vitu mnaanzisha wenyewe..mkijibiwa mnasema malumbano..basi kaeni kimya uguzeni mgonjwa wenu..ila msidhani shughuli zitasimama kwa sababu ya ugonjwa au kifo cha lisu..hata vikao vya Acacia na timu ya magufuli havijasimama
hii nchi inaudhi sana mkuuBwaahaaaaaaa, yaani nimecheka ile mbaya. Barafu acha kumbania huyu dada yuko tayari kuwa dishwasher lakini husomeki.
Nikikupeleka Nairobi napo siutakuwa umetoka hapo nchini tz?au we unataka kwenda ulaya?barafu bna .unajuaga kunihuzunisha ila nikikuomba unitoe hapa nchini hata nikawe beki tatu kwa dk slaa huko hutaki.sawa tu acha nife katika udhalimu
Huna point bora ungenyamaza, sio kila kitu lazima upinge.Malumbano wanaoanzisha ni chadema wenyewe..wakijibiwa wanaona wanaonewa..ndugai alielezea taifa wingi wa risasi alizopigwa lisu kwenye gari..kubenea akasema ndugai muongo..wakati kitendo tu cha kutaja wingi kule wa risasi ilibidi mumpongeze..maana angeweza pia kukaa kimya..kamsema zito bungeni..zito akagusia lisu..wakati lisu hausiki..Lema nae anamshutumu kuhusu lissu..
Sasa vitu mnaanzisha wenyewe..mkijibiwa mnasema malumbano..basi kaeni kimya uguzeni mgonjwa wenu..ila msidhani shughuli zitasimama kwa sababu ya ugonjwa au kifo cha lisu..hata vikao vya Acacia na timu ya magufuli havijasimama
nje ya Tanzania mkuu.popote huku tz hapafai tenaNikikupeleka Nairobi napo siutakuwa umetoka hapo nchini tz?au we unataka kwenda ulaya?