Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,926
Nivemba ni kitu gani ?Mmesahau - ilisemwa Nivemba, 2020!
Nivemba ni kitu gani ?Mmesahau - ilisemwa Nivemba, 2020!
Si bure itakuwa Covid-19 ndo maana haikutangazwa. Ajifukize haraka apone kazi iendelee reli ifike Moro Novemba, 2019 kama ilivyopangwa wakina Tomaso wakose la kusema. Hapa kazi tu kazini!Mkandarasi mkuu aliumwa mafua kidogo ndio maana mradi umechelewa
Kwa hiyo taratibu zamikataba hazizingatiwi tena mnajali kufungua oct ili mshinde uchaguzi?
Mvua mwaka jana zilianza Sept. Kama ni kuchelewa alingechelewa kwa miezi miwili au 3. Mvua zimeacha kunyesha tangu April. Kwa nn reli haikamiliki?
Na vp ile treni ya wonyeshi Dsm to Moshi(Arusha?)..bado inafanya kazi? Au ni hadi Oct ndipo mkapige nayo picha tena pale Moshi?
FyuuuuuMwaka huu kulikuwa na mvua nyingi sana usiwe na wasi wasi haihusiani na mambo ya uchaguzi ndio sababu mkandarasi alisogea mbele. JPM anaibadili tanzania kuwa shindani kwenye kanda hii. Tupo pazuri Hapa Kazi TU!
Wishful thinking tuMwaka huu kulikuwa na mvua nyingi sana usiwe na wasi wasi haihusiani na mambo ya uchaguzi ndio sababu mkandarasi alisogea mbele. JPM anaibadili tanzania kuwa shindani kwenye kanda hii. Tupo pazuri Hapa Kazi TU!