Maelezo mengi lakina hakuna hoja ya msingi, mahusiano ya kidiplomasia yanayotaka mataifa fulani pekee kujikomba upande mwingine ndio mnayaita mahusiano sahihi!

Raisi wa USA au Ufaransa akipanga safari yake kuja Africa anaweza kuishia kwenye nchi mbili au tatu tu, cha ajabu na kushangaza ni pale nchi zote 50 na zaidi zilizopo Africa maraisi wake wanataka kwenda Ufaransa au USA, ikibidi hata mara tatu au nne katika mwaka.

Cha kushangaza zaidi, watu wanawasahau wanadiplomasia chungu nzima waliopo kwenye mabalozi duniani kote, wanataka mpaka Raisi aende yeye mwenyewe physically, kwa wenzetu sasa, ukiona manyoya ujue tayari kaliwa nikimaanisha kwamba, ukimuona Obama, Blair au Bush kaja Tanzania tena akiwa madarakani ujue ndio basi tena, kumbuka huwa tunawaondoa mpaka viwete na kudeki lami kwa maana ya kuonyesha hatuna shida (kwa ziara za hapa ndani za raisi ni sawa na kuyakataa mabango yasionyeshwe) ili wakiondoka na dhahabu kama zawadi wasijisikie wanyonge maana wakiona uhalisia ni kama vile kumtembelea mgonjwa baadae unapewa wewe uji wake unywe.

Diplomasia ya maana sana na yakufanyiwa kazi na nchi zetu ni ya EAC, AU, SADC, ECCOWAS n.k. Iwe kama vile wenzetu wanavyo pambania EU, UK, NATO n.k, ndio baadae na sisi sasa tufikilie kujihusisha UN, USA, UK kwa ukaribu baada ya kuwa vizuri nyumbani kidiplomasia. Kumbuka hata adui yeyote akitaka kukuangusha hutumia majirani na mifano mizuri ipo Middle na far East kwenye vita za Iran, Iraq, Kuwait na Korea, Japan, China respectively.
Mtoa mada ameuliza swali arafu amejijibu mwenyewe. Kwa kumuongezea majibu yake, safar hii Ina manufaa kwamba

1. Mkuu amekutana na mapokez mazur ya heshma akiwemo mangi kimambi

2.Marais wote walio kuwemo kwenye ukumbi, wamegundua Tanzania tulifiwa na magufuri kupitia hotuba yake na hivyo wametuonea huruma....

3.kupitia hotuba yake, dunia imejua kuwa Tanzania Haina wataalam wa afya wenye kutengeneza chanjo zetu, hivyo ameomba tupewe nyongeza ya chanjo ya nje siku zote

4. Safar yake, baada ya rais wa Zambia kupokelewa Ikulu ya marekan, yeye mpaka amerud Ikulu ya Biden hakuingia. So amejifunza na ss tumejifunza kitu jins wamerekan na dunia wanavyo tuchukulia...

5. Makamo wake amesema alipo achiwa nchi aliogopa Sana. Hivyo mkuu amegundua kwamba makamo kumbe mwogaaaaa. Akiwa rais lasm arafu Gaid waliyemkamata ...., Akitishia tu, mzee BP inaweza kumpanda n.k

So faida ziko nyingi tumemuonzea mtoa mada
 
Mtoa mada ameuliza swali arafu amejijibu mwenyewe. Kwa kumuongezea majibu yake, safar hii Ina manufaa kwamba

1. Mkuu amekutana na mapokez mazur ya heshma akiwemo mangi kimambi

2.Marais wote walio kuwemo kwenye ukumbi, wamegundua Tanzania tulifiwa na magufuri kupitia hotuba yake na hivyo wametuonea huruma....

3.kupitia hotuba yake, dunia imejua kuwa Tanzania Haina wataalam wa afya wenye kutengeneza chanjo zetu, hivyo ameomba tupewe nyongeza ya chanjo ya nje siku zote

4. Safar yake, baada ya rais wa Zambia kupokelewa Ikulu ya marekan, yeye mpaka amerud Ikulu ya Biden hakuingia. So amejifunza na ss tumejifunza kitu jins wamerekan na dunia wanavyo tuchukulia...

5. Makamo wake amesema alipo achiwa nchi aliogopa Sana. Hivyo mkuu amegundua kwamba makamo kumbe mwogaaaaa. Akiwa rais lasm arafu Gaid waliyemkamata ...., Akitishia tu, mzee BP inaweza kumpanda n.k

So faida ziko nyingi tumemuonzea mtoa mada
Hahahahaha hiyo namba mbili umeua kabisa mkuu ukiachilia ya Mange na hizo nyinginezo, yaani hicho kitu kimenikera sana hata mimi, mpaka saizi tunaenda kuumaliza mwaka bado raisi anatoa salamu za rambirambi za msiba wa mwezi wa tatu! Aisee!

wenyewe watakuambia protocol, ilhali mwendazake mwenyewe ndio kwanza hakuwa hata na shobo na hivyo vikao. Tena nahisi angemaliza ten years bila kuhudhuria wakaona wamkatishe safari ya matumaini ya kweli.
 
Hahahahaha hiyo namba mbili umeua kabisa mkuu ukiachilia ya Mange na hizo nyinginezo, yaani hicho kitu kimenikera sana hata mimi, mpaka saizi tunaenda kuumaliza mwaka bado raisi anatoa salamu za rambirambi za msiba wa mwezi wa tatu! Aisee!

wenyewe watakuambia protocol, ilhali mwendazake mwenyewe ndio kwanza hakuwa hata na shobo na hivyo vikao. Tena nahisi angemaliza ten years bila kuhudhuria wakaona wamkatishe safari ya matumaini ya kweli.
Ndo vizuri jaman tuonewe huruma..Ila tu amejitahidi Kaz iendeleeeeee
 
Tatizo upinzani nao hawajitambui...
Huu ugomvi wa ndani kwenye kuta za ccm ungewanufaisha sana!
 
Tukiwa huko Cairo tusisahau kuwaomba wasiwe Wavivu kuendelea Kujenga Bwawa letu Muhimu la Umeme ( ambalo linasuasua sasa ) kwani sasa tuna Hela za Kutosha za Kukopa na COVID-19 tofauti na tulivyokuwa tukiaminishwa mwanzo kuwa tunajenga kwa Fedha zetu Wenyewe.
 
Tukiwa huko Cairo tusisahau kuwaomba wasiwe Wavivu kuendelea Kujenga Bwawa letu Muhimu la Umeme ( ambalo linasuasua sasa ) kwani sasa tuna Hela za Kutosha za Kukopa na COVID-19 tofauti na tulivyokuwa tukiaminishwa mwanzo kuwa tunajenga kwa Fedha zetu Wenyewe.
Unataka uwe konda wa ndege yake?

Mwache mama aendelee kuupiga mwingi kama Maradona
 
kujenga na kuirejesha TZ katika mahusiano mazuri ya kidiplomasia kwataka kufungua mipaka na kutojifungia ndani,
 
kujenga na kuirejesha TZ katika mahusiano mazuri ya kidiplomasia kwataka kufungua mipaka na kutojifungia ndani,
Ameenda na Pesa zao ili waendelee na Kazi ya Kutujengea Bwawa letu au? Wamisri hawapendi Upuuzi na Uswahili Ndugu.
 
Wamisri wamegoma kuendelea Kujenga Bwawa letu kwani Pesa hawazioni hivyo tunaenda kuwapigia Magoti Ndugu. Kazi ipo!
Kwani hao wamisri wanaletaje jeuri kwetu hao inabid siku moja watupigie magoti watuheshimu hebu tufanye kitu pale Victoria hakika lazma watapiga magoti mbele zetu
 
Tukiwa huko Cairo tusisahau kuwaomba wasiwe Wavivu kuendelea Kujenga Bwawa letu Muhimu la Umeme ( ambalo linasuasua sasa ) kwani sasa tuna Hela za Kutosha za Kukopa na COVID-19 tofauti na tulivyokuwa tukiaminishwa mwanzo kuwa tunajenga kwa Fedha zetu Wenyewe.
Yule shetani aliona watu ni wajinga sn
 
Kwani hao wamisri wanaletaje jeuri kwetu hao inabid siku moja watupigie magoti watuheshimu hebu tufanye kitu pale Victoria hakika lazma watapiga magoti mbele zetu
Huna Akili sasa mbona hamfanyi? Wamisri wana Akili kuliko Wewe kujitapa Kwako kwa Maji ya Ziwa Victoria ambayo mpaka sasa tunatimiza miaka 60 ya Uhuru hata Watanzania walio karibu na Ziwa hilo hawapati Maji na juhudi za Kuwaunganishia ndiyo zimeanza miaka ya karibuni.
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom