Safari ya kuhamia Dodoma Feb 2017 kwa Mawaziri na Makatibu Wakuu wote bado ipo?!

Lukusi

Member
Dec 23, 2016
13
55
Ndugu wanabodi tujikumbushe lile tamko/ratiba ya Serikali ya kuhamia Dodoma iliyotolewa na PM Majaliwa kuwa ifikapo Mwezi Februari 2017 Mawaziri na Makatibu wakuu wote wa Wizara watakuwa wamekwisha hamia Dodoma.

Sasa ni mwezi Januari 2017 je hiyo safari bado itakuwepo au lilikuwa tamko tu; mlioko Mawizarani tupeni update za maandalizi ya safari ya Dodoma kama ipo.
 
February imefika?

Ndugu wanabodi tujikumbushe lile tamko/ratiba ya Serikali ya kuhamia Dodoma iliyotolewa na PM Majaliwa kuwa ifikapo Mwezi Februari 2017 Mawaziri na Makatibu wakuu wote wa Wizara watakuwa wamekwisha hamia Dodoma.

Sasa ni mwezi Januari 2017 je hiyo safari bado itakuwepo au lilikuwa tamko tu; mlioko Mawizarani tupeni update za maandalizi ya safari ya Dodoma kama ipo.
 
Tulikuwa tunawatania tu!
Ndugu wanabodi tujikumbushe lile tamko/ratiba ya Serikali ya kuhamia Dodoma iliyotolewa na PM Majaliwa kuwa ifikapo Mwezi Februari 2017 Mawaziri na Makatibu wakuu wote wa Wizara watakuwa wamekwisha hamia Dodoma.

Sasa ni mwezi Januari 2017 je hiyo safari bado itakuwepo au lilikuwa tamko tu; mlioko Mawizarani tupeni update za maandalizi ya safari ya Dodoma kama ipo.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom