Singidan
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 876
- 923
Aisee! Serikali karibu yote muda huu ipo njiani kuelekea #Dodoma ukitaka kuthibitisha hili simama Morogoro Road muda wa jioni hadi sasa ujionee mwenyewe jinsi ambavyo STK, STL, DFP, W, NW nk. Zinavyofukuzana kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma Niamini mimi Serikali iko njiani muda huu!
Safari ya Dodoma inawatesa sana Watumishi wa Umma, sasa wamekuwa wakimbizi wa majiji mawili (Dar & Dom). Starehe ziko Dar, Mke Dar, watoto Dar, Matamko Dar, Ofisi Dom. Ona mambo yalivyo magumu kwa hawa watu.
........
KIBWAGIZO; Wazee Chamwino vipi huko? Maana naona Magogoni imegeuka National Park!
Sent using Jamii Forums mobile app
Safari ya Dodoma inawatesa sana Watumishi wa Umma, sasa wamekuwa wakimbizi wa majiji mawili (Dar & Dom). Starehe ziko Dar, Mke Dar, watoto Dar, Matamko Dar, Ofisi Dom. Ona mambo yalivyo magumu kwa hawa watu.
........
KIBWAGIZO; Wazee Chamwino vipi huko? Maana naona Magogoni imegeuka National Park!
Sent using Jamii Forums mobile app