Safari ya kuanzisha biashara ya nafaka kwa mtaji wa Tsh. milioni 50

Hhaahha nimesoma huku nacheka jamani!..hahaha...kulostishana balaa...! Biashara bila kuwa na roho ya kibabe jamani ngumu sana sana kutoka...!
Mie kiasili huwa mpole sana...yaan soft sana nimekuja gundua watu wananipiga as mie mpole...! Yaan wanatumia huruma nilonayo kuniumiza! Yaani unaweza kufa kwa presha jamani...nimekuwa mtataaa!
Sasa Drc wakishagunduwa kuwa wewe sio mwenyeji utapigwa mkwara balaa. Kuna safari nyingine nilikuwa nimepeleka mchele (yenyewe ilikuwa safari ya gari tulienda kwa roli la mizigo) sasa kufika sehem tulipoegesha ikabidi nizunguke nyuma ya gari nikakoja. Duh! Kakaja kadogo flani ivi kakanisalimia kakaniuliza papaa unakoyola ?

Nikaleta u tz nikakaambia Dogo achana namm mi sijakojoa bane, kumbe kameshanipiga hadi picha kakanionesha papaa iko me nakwambia umekoyola unaleta bhukaramushi ona huyu ni Nan? Sasa napeleka ku bha sodaa (askari) waje kamata wewe ku biloo(jela). Duh! Nikawa mpole ikabidi nikape mchele kidogo tumalizane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja naomba usirudi nyuma hatua ulizopiga yafaa kuanza tuu na si kingine. Biashara yoyote kuianza ni ngumu ila utazidi kuilewa unavyoendelea nayo si cha msingi wekeza kiasi kidogo katika izo millioni za biashara ili ujifunze mambo mengi, kumbuka kuna wizi, ujanja , dhuruma vyote hivyo utavipitia.

Jambo la pili ingekuwa vizuri ukaanza kununua mchele kutoka kwa store za watu au mikoani au ukapeleka mahindi yako kwa watu wenye mashine wakakukobolea nakusaga. Wewe andaa jina la kampuni ufanye packaging nzuri ukuze brand .Brand ndio itakayokuja kuwa silaha yako kufikia malengo ya kufungua store congo na nchi jirani

Kila la kheri bossy ,usitusahau kwenye ajira


It is never to late to begin. Start now

Asante mkuu tuko pamoja


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Create brand yako kwanza,Anza na product moja,mfano mahindi,,pack kwa ujazo kilo moja,mbili,tano,kumi,ishirini na tano,ukishakamata market ndo unaenda unaongeza kidogokidogo

Asante sana mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kabda sijachangia ulichouliza, mkuu umenikumbusha mwaka 2008 baada ya kuhitim kidato cha 6 nikajifanya sitaki kukaa home kizembe nikaanza mishe za hapa na pale kusaka pesa. Katika harakati zakutafuta pesa nikakutana na m' bembe mmoja toka Congo (tulikutania ujiji kigoma) akanipa idea yakupeleka Kuku Drc (sintoisahau ile safari) kwanza usiku wa safari hiyo tukiwa robo3 ya safari mawimbi makali yakaanza kutikisa boti na hata maji kuanza kuingia wamiliki wa boti wakasema jamani boti limejaa sana mizigo na watu hivyo yatulazimu tupunguze baadhi ya mizigo ili tusizame. Wakagusa mzigo wa jamaa mmoja (yalikuwa magunia ya mchele ) jamaa akaja juu akasema mzigo wangu hautupwi, wakagusa mabaloo ya vitenge ya mama mmoja wa kikongo yule mama akacharuka , ikabidi waje kwenye Kuku zangu duh! Namimi nikasara nikasema jaman yan magunia yote yaliyomo humu ndani kuku zangu2 ndio zizamishe boti. Kwa hasira jamaa wa boti wakasema acheni tufe wote lakin baada ya muda wimbi likapoa na hatimae tukafika karemii saa 5 asbuhi . Tukalala pale tukisubiri mnada kesho yake na ilipofika kesho tukaanza mnada na hapo ndo balaa likaanza mana nilikuwa nimetulia akaja mtu (amevalia sare za jeshi) akaanza petii nani kakutumanga kuweka mabezinesoo hapa nikajibu mkuu ni utaftaji tu nauza mnada akanambia petit yu vile we ni kiyana mudugho Nataka nikusaidiaghe nipe yoghoro moya (jogoo) hakuna wakukushumbua teena, duh! Jamaa lile likaondoka na jogoo Bonge la jogoo. Hata dakika kumi hazijaisha akaja mwingne "pettii unaitwanga nani " nikajibu "yuu vile nani karuhusu kufanza kufasi ya bhakongo? Sasa ili nikusamehe lete yoghoro moya " duh! Nikabisha jamaa likichomoa shaba likaniambia ntakupigha masase embu wacha bhukaramushi lete yoghoro. Jamaa walipiga jogoo kama 3 kibabe duh! Sintowasahau. Nikija kwenye thread yako mkuu me uzoefu wangu ni biashara ya mchele na mahindi nchini D.r.c. maeneo ya Kivu kusini, Baraka, karemii na mjini sehemu moja kuna wafurelo wengi jina nimelisahau. Biashara za nafaka Congo zinalipa changamoto ni ubabe tu na ili uepukane na changamoto hiyo upate dalali ambae ni mwenyeji.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli mkui hiyo hali yaijua kabisa.uzuri mwenyewe kule ndo nyumbani alafu nina campani ya watu kule katika maswala kama hayo wanaweza kuyazima fasta.
Hilo swala lako lipo na nalilipitia katika wazo la kuanzisha biashara huko


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kabda sijachangia ulichouliza, mkuu umenikumbusha mwaka 2008 baada ya kuhitim kidato cha 6 nikajifanya sitaki kukaa home kizembe nikaanza mishe za hapa na pale kusaka pesa. Katika harakati zakutafuta pesa nikakutana na m' bembe mmoja toka Congo (tulikutania ujiji kigoma) akanipa idea yakupeleka Kuku Drc (sintoisahau ile safari) kwanza usiku wa safari hiyo tukiwa robo3 ya safari mawimbi makali yakaanza kutikisa boti na hata maji kuanza kuingia wamiliki wa boti wakasema jamani boti limejaa sana mizigo na watu hivyo yatulazimu tupunguze baadhi ya mizigo ili tusizame. Wakagusa mzigo wa jamaa mmoja (yalikuwa magunia ya mchele ) jamaa akaja juu akasema mzigo wangu hautupwi, wakagusa mabaloo ya vitenge ya mama mmoja wa kikongo yule mama akacharuka , ikabidi waje kwenye Kuku zangu duh! Namimi nikasara nikasema jaman yan magunia yote yaliyomo humu ndani kuku zangu2 ndio zizamishe boti. Kwa hasira jamaa wa boti wakasema acheni tufe wote lakin baada ya muda wimbi likapoa na hatimae tukafika karemii saa 5 asbuhi . Tukalala pale tukisubiri mnada kesho yake na ilipofika kesho tukaanza mnada na hapo ndo balaa likaanza mana nilikuwa nimetulia akaja mtu (amevalia sare za jeshi) akaanza petii nani kakutumanga kuweka mabezinesoo hapa nikajibu mkuu ni utaftaji tu nauza mnada akanambia petit yu vile we ni kiyana mudugho Nataka nikusaidiaghe nipe yoghoro moya (jogoo) hakuna wakukushumbua teena, duh! Jamaa lile likaondoka na jogoo Bonge la jogoo. Hata dakika kumi hazijaisha akaja mwingne "pettii unaitwanga nani " nikajibu "yuu vile nani karuhusu kufanza kufasi ya bhakongo? Sasa ili nikusamehe lete yoghoro moya " duh! Nikabisha jamaa likichomoa shaba likaniambia ntakupigha masase embu wacha bhukaramushi lete yoghoro. Jamaa walipiga jogoo kama 3 kibabe duh! Sintowasahau. Nikija kwenye thread yako mkuu me uzoefu wangu ni biashara ya mchele na mahindi nchini D.r.c. maeneo ya Kivu kusini, Baraka, karemii na mjini sehemu moja kuna wafurelo wengi jina nimelisahau. Biashara za nafaka Congo zinalipa changamoto ni ubabe tu na ili uepukane na changamoto hiyo upate dalali ambae ni mwenyeji.

Sent using Jamii Forums mobile app

Pole sana mkuu




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sasa Drc wakishagunduwa kuwa wewe sio mwenyeji utapigwa mkwara balaa. Kuna safari nyingine nilikuwa nimepeleka mchele (yenyewe ilikuwa safari ya gari tulienda kwa roli la mizigo) sasa kufika sehem tulipoegesha ikabidi nizunguke nyuma ya gari nikakoja. Duh! Kakaja kadogo flani ivi kakanisalimia kakaniuliza papaa unakoyola ? Nikaleta u tz nikakaambia Dogo achana namm mi sijakojoa bane, kumbe kameshanipiga hadi picha kakanionesha papaa iko me nakwambia umekoyola unaleta bhukaramushi ona huyu ni Nan? Sasa napeleka ku bha sodaa (askari) waje kamata wewe ku biloo(jela). Duh! Nikawa mpole ikabidi nikape mchele kidogo tumalizane

Sent using Jamii Forums mobile app

Aaaaaaasssh unanifuisha mkuu kwa stori hii.
Ni kweli kabisa ila hile iko poa kibiashara inaweza kukutoa kimaisha


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sasa Drc wakishagunduwa kuwa wewe sio mwenyeji utapigwa mkwara balaa. Kuna safari nyingine nilikuwa nimepeleka mchele (yenyewe ilikuwa safari ya gari tulienda kwa roli la mizigo) sasa kufika sehem tulipoegesha ikabidi nizunguke nyuma ya gari nikakoja. Duh! Kakaja kadogo flani ivi kakanisalimia kakaniuliza papaa unakoyola ?

Nikaleta u tz nikakaambia Dogo achana namm mi sijakojoa bane, kumbe kameshanipiga hadi picha kakanionesha papaa iko me nakwambia umekoyola unaleta bhukaramushi ona huyu ni Nan? Sasa napeleka ku bha sodaa (askari) waje kamata wewe ku biloo(jela). Duh! Nikawa mpole ikabidi nikape mchele kidogo tumalizane

Sent using Jamii Forums mobile app


Duh...aisee...ubabe ubabr.poor us hatunaga kash kash na wageni sisi!...dah...ila wenyewe full roho mbaya!
 
Kabda sijachangia ulichouliza, mkuu umenikumbusha mwaka 2008 baada ya kuhitim kidato cha 6 nikajifanya sitaki kukaa home kizembe nikaanza mishe za hapa na pale kusaka pesa. Katika harakati zakutafuta pesa nikakutana na m' bembe mmoja toka Congo (tulikutania ujiji kigoma) akanipa idea yakupeleka Kuku Drc (sintoisahau ile safari) kwanza usiku wa safari hiyo tukiwa robo3 ya safari mawimbi makali yakaanza kutikisa boti na hata maji kuanza kuingia wamiliki wa boti wakasema jamani boti limejaa sana mizigo na watu hivyo yatulazimu tupunguze baadhi ya mizigo ili tusizame.

Wakagusa mzigo wa jamaa mmoja (yalikuwa magunia ya mchele ) jamaa akaja juu akasema mzigo wangu hautupwi, wakagusa mabaloo ya vitenge ya mama mmoja wa kikongo yule mama akacharuka , ikabidi waje kwenye Kuku zangu duh! Namimi nikasara nikasema jaman yan magunia yote yaliyomo humu ndani kuku zangu2 ndio zizamishe boti. Kwa hasira jamaa wa boti wakasema acheni tufe wote lakin baada ya muda wimbi likapoa na hatimae tukafika karemii saa 5 asbuhi .

Tukalala pale tukisubiri mnada kesho yake na ilipofika kesho tukaanza mnada na hapo ndo balaa likaanza mana nilikuwa nimetulia akaja mtu (amevalia sare za jeshi) akaanza petii nani kakutumanga kuweka mabezinesoo hapa nikajibu mkuu ni utaftaji tu nauza mnada akanambia petit yu vile we ni kiyana mudugho Nataka nikusaidiaghe nipe yoghoro moya (jogoo) hakuna wakukushumbua teena, duh! Jamaa lile likaondoka na jogoo Bonge la jogoo.

Hata dakika kumi hazijaisha akaja mwingne "pettii unaitwanga nani " nikajibu "yuu vile nani karuhusu kufanza kufasi ya bhakongo? Sasa ili nikusamehe lete yoghoro moya " duh! Nikabisha jamaa likichomoa shaba likaniambia ntakupigha masase embu wacha bhukaramushi lete yoghoro.

Jamaa walipiga jogoo kama 3 kibabe duh! Sintowasahau. Nikija kwenye thread yako mkuu me uzoefu wangu ni biashara ya mchele na mahindi nchini D.r.c. maeneo ya Kivu kusini, Baraka, karemii na mjini sehemu moja kuna wafurelo wengi jina nimelisahau. Biashara za nafaka Congo zinalipa changamoto ni ubabe tu na ili uepukane na changamoto hiyo upate dalali ambae ni mwenyeji.

Sent using Jamii Forums mobile app

We jamaa nimecheka sana dahh
 
Kabda sijachangia ulichouliza, mkuu umenikumbusha mwaka 2008 baada ya kuhitim kidato cha 6 nikajifanya sitaki kukaa home kizembe nikaanza mishe za hapa na pale kusaka pesa. Katika harakati zakutafuta pesa nikakutana na m' bembe mmoja toka Congo (tulikutania ujiji kigoma) akanipa idea yakupeleka Kuku Drc (sintoisahau ile safari) kwanza usiku wa safari hiyo tukiwa robo3 ya safari mawimbi makali yakaanza kutikisa boti na hata maji kuanza kuingia wamiliki wa boti wakasema jamani boti limejaa sana mizigo na watu hivyo yatulazimu tupunguze baadhi ya mizigo ili tusizame.

Wakagusa mzigo wa jamaa mmoja (yalikuwa magunia ya mchele ) jamaa akaja juu akasema mzigo wangu hautupwi, wakagusa mabaloo ya vitenge ya mama mmoja wa kikongo yule mama akacharuka , ikabidi waje kwenye Kuku zangu duh! Namimi nikasara nikasema jaman yan magunia yote yaliyomo humu ndani kuku zangu2 ndio zizamishe boti. Kwa hasira jamaa wa boti wakasema acheni tufe wote lakin baada ya muda wimbi likapoa na hatimae tukafika karemii saa 5 asbuhi .

Tukalala pale tukisubiri mnada kesho yake na ilipofika kesho tukaanza mnada na hapo ndo balaa likaanza mana nilikuwa nimetulia akaja mtu (amevalia sare za jeshi) akaanza petii nani kakutumanga kuweka mabezinesoo hapa nikajibu mkuu ni utaftaji tu nauza mnada akanambia petit yu vile we ni kiyana mudugho Nataka nikusaidiaghe nipe yoghoro moya (jogoo) hakuna wakukushumbua teena, duh! Jamaa lile likaondoka na jogoo Bonge la jogoo.

Hata dakika kumi hazijaisha akaja mwingne "pettii unaitwanga nani " nikajibu "yuu vile nani karuhusu kufanza kufasi ya bhakongo? Sasa ili nikusamehe lete yoghoro moya " duh! Nikabisha jamaa likichomoa shaba likaniambia ntakupigha masase embu wacha bhukaramushi lete yoghoro.

Jamaa walipiga jogoo kama 3 kibabe duh! Sintowasahau. Nikija kwenye thread yako mkuu me uzoefu wangu ni biashara ya mchele na mahindi nchini D.r.c. maeneo ya Kivu kusini, Baraka, karemii na mjini sehemu moja kuna wafurelo wengi jina nimelisahau. Biashara za nafaka Congo zinalipa changamoto ni ubabe tu na ili uepukane na changamoto hiyo upate dalali ambae ni mwenyeji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Wacongo wavivu sana, yaani hata kuku wanashindwa kufuga!!
 
Kabda sijachangia ulichouliza, mkuu umenikumbusha mwaka 2008 baada ya kuhitim kidato cha 6 nikajifanya sitaki kukaa home kizembe nikaanza mishe za hapa na pale kusaka pesa. Katika harakati zakutafuta pesa nikakutana na m' bembe mmoja toka Congo (tulikutania ujiji kigoma) akanipa idea yakupeleka Kuku Drc (sintoisahau ile safari) kwanza usiku wa safari hiyo tukiwa robo3 ya safari mawimbi makali yakaanza kutikisa boti na hata maji kuanza kuingia wamiliki wa boti wakasema jamani boti limejaa sana mizigo na watu hivyo yatulazimu tupunguze baadhi ya mizigo ili tusizame.

Wakagusa mzigo wa jamaa mmoja (yalikuwa magunia ya mchele ) jamaa akaja juu akasema mzigo wangu hautupwi, wakagusa mabaloo ya vitenge ya mama mmoja wa kikongo yule mama akacharuka , ikabidi waje kwenye Kuku zangu duh! Namimi nikasara nikasema jaman yan magunia yote yaliyomo humu ndani kuku zangu2 ndio zizamishe boti. Kwa hasira jamaa wa boti wakasema acheni tufe wote lakin baada ya muda wimbi likapoa na hatimae tukafika karemii saa 5 asbuhi .

Tukalala pale tukisubiri mnada kesho yake na ilipofika kesho tukaanza mnada na hapo ndo balaa likaanza mana nilikuwa nimetulia akaja mtu (amevalia sare za jeshi) akaanza petii nani kakutumanga kuweka mabezinesoo hapa nikajibu mkuu ni utaftaji tu nauza mnada akanambia petit yu vile we ni kiyana mudugho Nataka nikusaidiaghe nipe yoghoro moya (jogoo) hakuna wakukushumbua teena, duh! Jamaa lile likaondoka na jogoo Bonge la jogoo.

Hata dakika kumi hazijaisha akaja mwingne "pettii unaitwanga nani " nikajibu "yuu vile nani karuhusu kufanza kufasi ya bhakongo? Sasa ili nikusamehe lete yoghoro moya " duh! Nikabisha jamaa likichomoa shaba likaniambia ntakupigha masase embu wacha bhukaramushi lete yoghoro.

Jamaa walipiga jogoo kama 3 kibabe duh! Sintowasahau. Nikija kwenye thread yako mkuu me uzoefu wangu ni biashara ya mchele na mahindi nchini D.r.c. maeneo ya Kivu kusini, Baraka, karemii na mjini sehemu moja kuna wafurelo wengi jina nimelisahau. Biashara za nafaka Congo zinalipa changamoto ni ubabe tu na ili uepukane na changamoto hiyo upate dalali ambae ni mwenyeji.

Sent using Jamii Forums mobile app
nani amekutumanga kufanya mabisnezoohii comment nmecheka sana

ujue wale jamaa hawajui kiswahili fasaha kwa hyo vile wakiskia tu lafudh yako wanajua huyu sio kongoman mwenzetu by the way leo niko.mwanza huku mchele unauzwa 1000@ kilogram kama unahtaji karibu

Cheef Baroka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wazo lako zuri...lakini kwa 50m ni ndogo sana hutaweza....tukianza na hiyo gari la fuso used 15m....machine ya kisasa ya kusagia 20m....imebaki 15m.....bado hujafunga machine...kodi ya jengo....kodi ya store....TRA....leseni....TFDA....hujanunua material kama mahindi....hujalipa mishahara ya wafanyakazi wako...kumbuka sio kila bidhaa utakayo tengeneneza utauza....uzoefu huna na wateja wa kutosha huna....

Hivyo hasara zakufikia tu..Mkuu kuna ushindani pia...unaweza ukafanya biashara mwaka mzima hujaona faida ya moja kwa moja...lakini matumizi yako pale pale..hivyo ukiwa na mtaji mkubwa unakubeba...hiyo idea angalau ungekuwa na 200m...Nakushauri fanya biashara ya kununua na kuuza nafaka Jumla jumla...au saga sembe na dona uuze hapa hapa ....

Achana na issue za kupeleka nje ya nchi...wala kuajiri watumishi wengi mapema kiasi hivyo,,,mbinu nzuri ni kuanza na biashara ndogo...ili upate uzoefu na kusoma mazingira...pia itakusadia usipoteze mtaji....kupata mtaji ni rahisi kidogo...issue ni kuukuza huo mtaji...ukicheza kidogo to unarudi kule kule.
"ukicheza kidogo to unarudi kule kule."

hii n kweli kabisa asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nitaanza na maduka ya nafaka kwa hiyo pesa,mafuso na mambo mengn ni kwa baadae baada ya kuona mambo yanaenda sawa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu vip ulifanikiw kuanz na hayo maduka ya nafak tupe mrejesho
 
Back
Top Bottom