Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
huoni kama kitendo cha mtu kushindia muhogo mbichi ni kwa sababu ya maisha magumu ambayo ccm imewasababishia watanzania? unafurah mtu kushindia muhogo ili hali mnaendelea kuitafuna nchi na kuwaacha asilimia kubwa ya watz hoi?Ndo shida ya kushindia kipande cha muhogo mbichi!!! unajitungia tu maneno.