Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Si nimeckia kaahrisha ziara,au ilikua geresha tu?
Aahirishe ziara halafu hizo posho ale babako?
Si nimeckia kaahrisha ziara,au ilikua geresha tu?
JK kwa sasa yupo Sunderland kuangalia uwezekano wa kuzungumza na wamiliki wa Club ya Sunderland ya UK ili waanzishe Academy ya mpira Tanzania.
Hii ndio shida ya kuongozwa na wagonjwa....
Waziri wa michezo yupo bungeni.Sasa Waziri wa michezo afanye kazi gani ikiwa kuomba club isaidie michezo anakwenda Rais ambako kwake kumeripuliwa bomu na hana habari. Ukiona hivyo ni dalili za mfa maji haachi kutapatapa
Mkuu ndiyo maana akili ni nywele kila mtu anazake.Cha msingi Mh Rais angewaalika makocha wote wa ligi kuu kisha Serikari iwalipie nauli watembelee vilabu vyote vikubwa vya ulaya wakutane na makocha wakubwa wapigwe msasa mkali angalau wajifunze live jinsi soka la kisasa linavyoendeshwa wajifunze mpaka lishe za wachezaji namna ya kudumisha nidhamu nje ya uwanja kwani mapungufu Haya Ndio tatizo sugu kwenye soka letu na endapo yatafanyiwa kazi Hakika soka letu litakuwa kwa kasi sana
wakati mwengine akili zake zinamtosha yeye mwenyewe na genge lake, sasa raisi mzima uende ugenini ukatie nanga sunderland kisa kupata ushauri wa academy jamaa wa TFA wanashughuli gani sasa.
JK kwa sasa yupo Sunderland kuangalia uwezekano wa kuzungumza na wamiliki wa Club ya Sunderland ya UK ili waanzishe Academy ya mpira Tanzania.
JK kwa sasa yupo Sunderland kuangalia uwezekano wa kuzungumza na wamiliki wa Club ya Sunderland ya UK ili waanzishe Academy ya mpira Tanzania.
JK kwa sasa yupo Sunderland kuangalia uwezekano wa kuzungumza na wamiliki wa Club ya Sunderland ya UK ili waanzishe Academy ya mpira Tanzania.
Ni kipaumbele cha rais hata kama hutaki. Rais wetu ni askari, mchumi, mwanasiasa na mwanaspoti. Upo hapo?Sidhani football academy ni kipaumbele cha nchi hii.Kama hili lilikuwa ni moja ya malengo ya safari yake.MUNGU tunusuru maana tunapotea.
Kumbe ni kipaumbele binafsi kwa matumizi ya walipa kodiNi kipaumbele cha rais hata kama hutaki. Rais wetu ni askari, mchumi, mwanasiasa na mwanaspoti. Upo hapo?
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums