Lekachonka
Member
- Dec 17, 2016
- 35
- 17
Huwa najiuliza kama ikitokea uchaguzi ujao akashinda Rais mwingine ndani ya Chama dola ama akitokea Chama cha upinzani. Alafu mtu huyu naye akaja na wazo la kuhamishia Makao makuu ya Tanzania kwenye mkoa anaoufahamu yeye kwa sababu zake mwenyewe. Je,atakuwa sahihi? Hili suala la kuhamia Dodoma linafanyika ili kumuenzi Mwalimu Nyerere ama linafanyika kwasababu linatakiwa lifanyike?