bado unasafiri kwa meli hii uogopi kifo?
Mambo mengine mnajitakia
Kifo ni kifo tu, kila mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke ataonja mauti. Tatizo ni kutotoa taarifa mapema kwa abiria
Wadau nimepanda meli ya Mv Victoria naelekea bukoba, kwa mujibu wa tiketi twatakiwa kuondoka saa 3.00 kamili usiku ila mpka sasa haijulikani tutaondoka saa ngapi, na hakuna wahusika wa meli hapa.