Safari ya Bujumbura inaendelea tunazidi kupukuta upepo, tupo Kigoma

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
14,304
29,834
Habari zenu ndugu zangu tuliondoka Leo kwa maombi kuelekea Burundi na muda huu tumefika Kigoma Mjini kupata chakula na kurelax, tuliondoka jiji la Dar Es Salaam saa kumi na moja asubuhi

Ila watu wa huku ni wacheshi sana ila wana hali ngumu ya maisha, mwonekano na mavazi yao ni ishara ya aina ya kipato walichonacho, mlo mmoja au miwili kwa siku.

Waha wote mbarikiwe kwa upendo wenu ila baada ya saa moja yaani saa tatu kamili tunasepa.
 
Ukifika custom ya Munanila, mtaa wa bigala nicheck nina ujumbe wako mkuu
 
Habari zenu ndugu zangu tuliondoka Leo kwa maombi kuelekea Burundi namda huu tumefika kigoma mjini kupata chakula na kurelax, tuliondoka jiji la Dar Es Salaam saa kumi na moja asubuhi, ila watu wa huku niwacheshi sana ila wana hali ngumu yamaisha, mwonekano na mavazi yao ni ishara ya aina yakipato walichonacho, mlo mmoja au miwili kwa siku. Waha wote mbarikiwe kwa upendo wenu ila baada ya Lisaa limoja yaani saa tatu kamili tunasepa.
Mkuu maombi ni kampuni ya mabasi au ni shirika jipya la ndege?
 
Habari zenu ndugu zangu tuliondoka Leo kwa maombi kuelekea Burundi na muda huu tumefika Kigoma Mjini kupata chakula na kurelax, tuliondoka jiji la Dar Es Salaam saa kumi na moja asubuhi

Ila watu wa huku ni wacheshi sana ila wana hali ngumu ya maisha, mwonekano na mavazi yao ni ishara ya aina ya kipato walichonacho, mlo mmoja au miwili kwa siku.

Waha wote mbarikiwe kwa upendo wenu ila baada ya saa moja yaani saa tatu kamili tunasepa.
Karibu Kazuramimba
 
Habari zenu ndugu zangu tuliondoka Leo kwa maombi kuelekea Burundi na muda huu tumefika Kigoma Mjini kupata chakula na kurelax, tuliondoka jiji la Dar Es Salaam saa kumi na moja asubuhi

Ila watu wa huku ni wacheshi sana ila wana hali ngumu ya maisha, mwonekano na mavazi yao ni ishara ya aina ya kipato walichonacho, mlo mmoja au miwili kwa siku.

Waha wote mbarikiwe kwa upendo wenu ila baada ya saa moja yaani saa tatu kamili tunasepa.
Mmefika kigoma sehemu gani mkuu? Ujiji? Mwandiga? Kibirizi??
 
Back
Top Bottom