Hamumtaki wewe na nani?umechaguliwa lini kuwa msemaji wa wana same?
Mrs shumbi madelu gulo upo? Dah mbona kimya mama? Vipi ndio umebuma nini? Ok msalimie shemeji shumbi madelu gulo na stella mwampamba
Hamumtaki wewe na nani?umechaguliwa lini kuwa msemaji wa wana same?
Hamumtaki wewe na nani?umechaguliwa lini kuwa msemaji wa wana same?
Baada ya kushindwa UWT sasa mama Kilango anajiaandaa kuondoka bungeni kwani hawezi kurudi tena bungeni 2015. Amewahadaa sana watu wa Same Magharibi kwa ahadi zisizotekelezeka na kuwalaghai na ka kiwanda ka Tangawizi ambako hakapo. Pamoja na hayo anakabiliwa na matatizo mengi ya barabara mbovu, elimu kushuka kwa kasi, zao la mpunga kuporomoka, zahanati kushindwa hata kufunga vidonda amekuwa vuvuzela na haonekani jimboni.
Wakazi wa Same wanamtakia maisha mema popote alipo na wanatamani 2015 ifike leo.
Upande wa pili Mathayo anaonekana kakubali matokeo kwani hata kwao haendi tena.
Chief Mkwawa Wa Kalenga
Kwenye pita pita zake za kukagua majimbo
Hamumtaki wewe na nani?umechaguliwa lini kuwa msemaji wa wana same?
Aondoke tu huyu mama. ana kelele nyingi sana lakini kiutendaji hana kitu kabisa. Hata uzalendo wake nina mashaka nao maana yuko radhi kuhatarisha maslahi ya taifa ili kulinda maslahi ya chama chake. Hafai kabisa kuwa kiongozi maana kwake chama mbele taifa nyuma. Watu kama huyu mama ni hatari sana. Ni hatari sana kufanya kazi na mnafiki maana atajifanya ana uchungu na nchi yake lakini hakuna kitu. Huyu mama nilikuwa namfagilia sana kabla sijamfahamu vizuri, lakini baada ya kumfahamu, nimegundua hafai kabisa hata kuwa balozi wa nyumba kumi kumi.
Mrs shumbi madelu gulo upo? Dah mbona kimya mama? Vipi ndio umebuma nini? Ok msalimie shemeji shumbi madelu gulo na stella mwampamba
Hana lolote.Hatumwoni jimboni.