rr3
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,044
- 3,798
Mimi nilishawahi panda COST LINE Kasulu Arusha.
Tuiingia Arusha saa saba na madakika, nikaishia kulala stendi. Uzuri ilikuwa Fiesta so stand ilikuwa busy kwa vijana wanaopenda starehe kuingia na kutoka pale Sheikh Amri Abeid.
Kwakweli tunahitaji Ndege na Treni za Umeme, Masafa marefu yanachosha mno.
Tuiingia Arusha saa saba na madakika, nikaishia kulala stendi. Uzuri ilikuwa Fiesta so stand ilikuwa busy kwa vijana wanaopenda starehe kuingia na kutoka pale Sheikh Amri Abeid.
Kwakweli tunahitaji Ndege na Treni za Umeme, Masafa marefu yanachosha mno.