Na unaweza ukachunguzwaTatizo usawa babu..ukwee pipa kipindi awamu ya tano c utakua unafanya kufuru ya hela..
Kwahiyo akinunua gari ndio km zitapungua?Si ununue gari
Mkuu bwana ww acha jazba biashara ya ndege hailipi najua kuna shirika/ mashirika yamekufa kwa kutengeneza loss... hatukurupuki ndg.Usikariri siasa kwenye maisha, ndege zinapandwa kama kawaida na zinajaa.
Kitu ambacho huelewi na siyo kosa lako Tanzania ndege ni chache sana, bado watu wengi zaidi wanatakiwa kuwekeza kwenye usafiri wa anga na soko ndio litashusha bei automatically
Umesema namna ya uandishi inaweza kukutambulisha jinsia yako au sio?,okay tukisema ww ni ke utalalamika kuwa umedharauliwa?...,kwasababu kwa mwanaume halisi si mvulana safari ya dar-Dom hukustaili kulalamika,hapo ke ndio alitakiwa alalamike,eti hata ofisini umeshindwa kwenda aiseee we jamaa bhana...Kuna namna ya uandishi inaweza ikafanya ukagundua kuwa ni ke au me..hope unaweza ukagundua apo.
Tena we ndio ke na K pia..kama mtu utachelewa kufika safari na kufika mda ambao ofc haitakua ipo active utaendaje ofc ufike home adi ujiandae..usijiless mwanadada..Umesema namna ya uandishi inaweza kukutambulisha jinsia yako au sio?,okay tukisema ww ni ke utalalamika kuwa umedharauliwa?...,kwasababu kwa mwanaume halisi si mvulana safari ya dar-Dom hukustaili kulalamika,hapo ke ndio alitakiwa alalamike,eti hata ofisini umeshindwa kwenda aiseee we jamaa bhana...
Hahahahahah acha kutokwa na mapovu lzm uambiwe ukweli,mwanaume kulalamika umechoka sio hio ni tabia za kinadada,mwanaume unatakiwa ugangamale,eti ohhh yaan nimechoka sijui kama ntaweza kwenda ofisiniTena we ndio ke na K pia..kama mtu utachelewa kufika safari na kufika mda ambao ofc haitakua ipo active utaendaje ofc ufike home adi ujiandae..usijiless mwanadada..