Saed Kubenea amburuza Paul Makonda Mahakamani, kupanda kizimbani Desemba 3, 2021 kwa makosa ya jinai

Halafu ashitakiwe kwa kuunda genge la wauaji maarufu kama "Wasiojulikana".
 
Mawakiki wapo pesayake tu Kibatala na team yeke wanaweza kumsaidiatu.
 
Baba lala peponi kamanda ila sisi wanao huku duniani wameanza kutunyanyasa, mwenzangu wamemtundika mvua 30 na bado ana kesi nyingine, mimi wameniwinda weee sasa wanataka kunining'iniza kama mshikaki - baba huko uliko wanao tunaumia, uliochekana nao wametugeuka kabisa!! kama ikiwezekana rudi hata kwa dk 5 tu ushuhudie palivyochafuka hapa !! hapafai.
 
HABARI Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amefunguliwa kesi ya jinai Mahakamani akituhumiwa kwa mambo mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo suala la kuvamia kituo cha televisheni cha Clouds Media, Machi 17 mwaka 2017

Kesi dhidi ya Makonda imewasilishwa Mahakamani na Mawakili wa Kujitegemea na inatarajiwa kuanza kusikilizwa Desemba 3 mwaka huu.
Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya Kagera aitwaye Paul Makonda kupandishwa kizimbani tarehe 3 December

Baba Keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli. Je, wasanii watakuwepo? Wasafi je? Babu Tale? Mkubwa Fella?

Le Mutuz Mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee

Lugha nyeupe lazima imwache mtu mweusi gizan

Ulivyoielewa hiyo Lugha kubenea amemfungulia makonda kesi au ametuma maombi ya kumfungulia kesi?
 
Makonda yule mwamba ni JIWE,, sidhani kama itakuwa rahisi kama wanavofikiria...
 
Back
Top Bottom