Saddest Day of Democracy in Tanzania

Ukombozi Sasa

Member
Nov 5, 2010
17
10
Today is Saddest Day of Democracy in Tanzania, Je inamaana gani nchi yetu kuendelea kupelekwa kibabe na watu wachache ambao hawaeshimu chaguo la wananchi? Kwa kutaka waendelee kubaki kwenye madaraka na kuchukua utajiri wa nchi kwa ajili ya familia zao, Kikwete yapi mema umewafanyia watanzania?, kwa kweli tunakuchukia ila hatuna la kufanya..Elewa ya kuwa haki ya watu haipotoi ila inachelewa..natumaini baada ya 2015 utakuwa rais wa kwanza wa Tanzania kufikishwa mahakamani na kufungwa wewe na familia yako, ambayo kwa sasa mtakuwa mstari wa mbele kupora utajiri wa watanzania wenzako. Wewe na marafiki zako mmefanya Tanzania kama mali yenu. Leo hiii unasimama ukifurahia ushindi wa uwizi, je hii haikumizi roho hata kidogo....You can fool some people sometimes but you cannot fool all the people all the time... Ipo siku tutapata kiongozi wa kweli ambaye atayakayejali maslahi ya wananchi...Kwa sasa watanzania hatuna kiongozi kwa miaka mitano inayokuja itakuwa migumu sana..Kikwete atahiharibu nchi kuliko hii mitano iliyopita.....MUNGU TUSAIDIE... kwa kinachokuja ni Udini, Ubabe, Unyanyasaji, Uwizi, Usalama Mdogo, Ufisadi wa Kutisha, Elimu Duni, Barabara Mbaya, Afya Mbovu, miji michafu, rushwa, ...Ni umaskini juu ya umaskini.....WATANZANIA TUMEKWISHA

Dr. Slaa tunakuombea kwa Mungu akupe afya njema ili uweze kutuongoza 2015, tupo nyuma yako ...It is just the matter of time

Inatuuma sana sisi wananchi kwa kunyimwa haki yetu, uwizi wa kura CCM iliyofanya kupitia NEC umevuka kiwango.....


TUMECHOKA KWA KWELI
 
Nakuunga mkono kwa asilimia zote. Hao CCM wamezoea kunajisi matokeo ya uchaguzi
 
I had also wanted to post my message which is more or less similar to yours. Indeed, it is a sad day for democracy and even a sadder day for Tanzania. I hope one day the people of Tanzania will be forever freed from the shackles which bind them. Some are aware of the shackles, others are not. However, the shackles will eventually become visible and unbearable to carry. God bless you all.
 
I had also wanted to post my message which is more or less similar to yours. Indeed, it is a sad day for democracy and even a sadder day for Tanzania. I hope one day the people of Tanzania will be forever freed from the shackles which bind them. Some are aware of the shackles, others are not. However, the shackles will eventually become visible and unbearable to carry. God bless you all.

Dua la Kuku.....
 
We gave them a good run but since they controlled the state machinery there was not much we could do apart from sending them a clear message that they were the most UNWANTED devils on earth. I thank everyone who voted to disapprove them. I wish there was a way to know or even measure their feelings after an historic loss. I bet they got less than 50%! Can one imagine them getting 61% after a massive rigging? Guys we gotta to congratulate ourselves..they lost but unfortunately they will rule us.
 
I agree, it is truly a sad day. But I also see it as a refueling day. What do I mean by refueling? Simply that the sadness and anger we feel will spur us on even more vehemently till we climb the mountain of victory with our Slaa.

Friends, let us wipe off our tears as it were, and stand tall for change. Dr. Slaa my president, we are behind you come what may, tooth and toenail we shall make it. Aluta continua.
 
Saddest day of democracy ilikuja pale mgombea wa urais wa nccr alipozuka na kuanza kutuhumu uchakachuaji kwa kutumia vielelezo alivyovichakachua wakati wa kupiga kampeni na kufanya incitement of hatred against the state.




today is saddest day of democracy in tanzania, je inamaana gani nchi yetu kuendelea kupelekwa kibabe na watu wachache ambao hawaeshimu chaguo la wananchi? Kwa kutaka waendelee kubaki kwenye madaraka na kuchukua utajiri wa nchi kwa ajili ya familia zao, kikwete yapi mema umewafanyia watanzania?, kwa kweli tunakuchukia ila hatuna la kufanya..elewa ya kuwa haki ya watu haipotoi ila inachelewa..natumaini baada ya 2015 utakuwa rais wa kwanza wa tanzania kufikishwa mahakamani na kufungwa wewe na familia yako, ambayo kwa sasa mtakuwa mstari wa mbele kupora utajiri wa watanzania wenzako. Wewe na marafiki zako mmefanya tanzania kama mali yenu. Leo hiii unasimama ukifurahia ushindi wa uwizi, je hii haikumizi roho hata kidogo....you can fool some people sometimes but you cannot fool all the people all the time... Ipo siku tutapata kiongozi wa kweli ambaye atayakayejali maslahi ya wananchi...kwa sasa watanzania hatuna kiongozi kwa miaka mitano inayokuja itakuwa migumu sana..kikwete atahiharibu nchi kuliko hii mitano iliyopita.....mungu tusaidie... Kwa kinachokuja ni udini, ubabe, unyanyasaji, uwizi, usalama mdogo, ufisadi wa kutisha, elimu duni, barabara mbaya, afya mbovu, miji michafu, rushwa, ...ni umaskini juu ya umaskini.....watanzania tumekwisha

dr. Slaa tunakuombea kwa mungu akupe afya njema ili uweze kutuongoza 2015, tupo nyuma yako ...it is just the matter of time

inatuuma sana sisi wananchi kwa kunyimwa haki yetu, uwizi wa kura ccm iliyofanya kupitia nec umevuka kiwango.....


Tumechoka kwa kweli
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom