Sadaka za Jumapili moja Ml 40-60, ubunge sh Ml 10 kwa mwezi, bora siasa ama Imani?

Askofu Mbunge hupata sadaka za kuanzia Ml 40 hadi Ml 60 kwa Jumapili moja. Amekuwa Mnafiki kwa sababu biashara anayofanya hataki kupoteza waumini wake.

Huyu hana tofauti na Kibwetere kwa sababu mahubiri yake ni mipasho na kutisha watu kuombewa hadi kufa.

Jumapili ijayo ni lazima atampasha Mbunge mwenzake Elibariki Kingu na kumtishia kifo! hii yote ili asipoteze sadaka.

Mapato ya Bishop Mbunge huyu kwa Jumapili baada ya kuingia bungeni yaliongezeka sana na kumfanya ajitahidi kubalance kote.

Akipoteza ubunge na mapato yake ya Jumapili yatapotea au kupungua sana. Anacheza na siasa na Imani za watu papo. Mjanaja sana Bishop Mbunge huyu.

Wanasiasa wameanza kumshtukia - sasa tuone atakujaje Jumapili.

Wabunge nao kwa unafiki wao wameamua kumwadabisha na Jerry Silaa ili wasionekana na double standard - Jerry Silaa ahapa ametoka hero.

Eti Elibariki Kingu unadai Jerry ataenda kumwomba msamaha Ndugai - msamaha gani sasa wkt wameshadibu? Sisi tunajua JS ndiyo mwakilishi wetu wa kweli!

Elibariki hebu kiri tu umemnafiki Spika Ndugai kwa kujaribu kumwonesha indirectly kuwa JS yupo sahihi.

Haya wawakilishi wetu - endeleeni kula miposho ambayo ni kodi zetu!
JS hero! Ajabu sana hii!

Nimefuatilia mwenendo wa mahojiano hadi conclusion bungeni, JS ni muongo na mzushi mkubwa!

Hakuna popote pale katika mahojiano JS alitoa hoja akaibuka mshindi.

Mwenendo mzima alikuwa aidha hajui au anadhani!

Alivyobeba rundo la kablasha tulitegemea ana evedence za kutosha na anaenda kuihenyesha kamati kwa hoja, kumbe ni utopolo mtupu!

Mimi naona heri hata ya gwajiboy anasimamia anachokijua na hakuyumba kimsunamo, lakini siyo huyo JS aliyeonesha utoto na uzandiki mwingi katika sakata lote hili.

Wacha kumtetea, mwache aubebe mzigo wake mwenyewe.
 
Askofu Mbunge hupata sadaka za kuanzia Ml 40 hadi Ml 60 kwa Jumapili moja. Amekuwa Mnafiki kwa sababu biashara anayofanya hataki kupoteza waumini wake.

Huyu hana tofauti na Kibwetere kwa sababu mahubiri yake ni mipasho na kutisha watu kuombewa hadi kufa.

Jumapili ijayo ni lazima atampasha Mbunge mwenzake Elibariki Kingu na kumtishia kifo! hii yote ili asipoteze sadaka.

Mapato ya Bishop Mbunge huyu kwa Jumapili baada ya kuingia bungeni yaliongezeka sana na kumfanya ajitahidi kubalance kote.

Akipoteza ubunge na mapato yake ya Jumapili yatapotea au kupungua sana. Anacheza na siasa na imani za watu papo. Mjanja sana Bishop Mbunge huyu.

Wanasiasa wameanza kumshtukia - sasa tuone atakujaje Jumapili.

Lakini pia - wabunge nao kwa unafiki wao wameamua kumwadabisha na Jerry Silaa ili wasionekane na double standard - Jerry Silaa hapa ametoka HERO wetu.

Eti Elibariki Kingu unadai Jerry ataenda kumwomba msamaha Ndugai - msamaha gani sasa wkt wameshamwadhibu? Sisi tunajua JS ndiyo mwakilishi wetu wa kweli ni shujaa wetu kati ya wabunge wote wa sasa!

Elibariki Kingu ninavyokufahamu! hebu kiri tu kuwa umemnafiki Spika Ndugai kwa kujaribu kumwonesha indirectly kuwa JS yupo sahihi.

Haya wawakilishi wetu - endeleeni kula miposho hiyo isiyokatwa kodi ambayo ni kodi zetu 100%!
kaanzishe kanisa lako upokee sadaka na wewe,
 
Askofu Mbunge hupata sadaka za kuanzia Ml 40 hadi Ml 60 kwa Jumapili moja. Amekuwa Mnafiki kwa sababu biashara anayofanya hataki kupoteza waumini wake.

Huyu hana tofauti na Kibwetere kwa sababu mahubiri yake ni mipasho na kutisha watu kuombewa hadi kufa.

Jumapili ijayo ni lazima atampasha Mbunge mwenzake Elibariki Kingu na kumtishia kifo! hii yote ili asipoteze sadaka.

Mapato ya Bishop Mbunge huyu kwa Jumapili baada ya kuingia bungeni yaliongezeka sana na kumfanya ajitahidi kubalance kote.

Akipoteza ubunge na mapato yake ya Jumapili yatapotea au kupungua sana. Anacheza na siasa na imani za watu papo. Mjanja sana Bishop Mbunge huyu.

Wanasiasa wameanza kumshtukia - sasa tuone atakujaje Jumapili.

Lakini pia - wabunge nao kwa unafiki wao wameamua kumwadabisha na Jerry Silaa ili wasionekane na double standard - Jerry Silaa hapa ametoka HERO wetu.

Eti Elibariki Kingu unadai Jerry ataenda kumwomba msamaha Ndugai - msamaha gani sasa wkt wameshamwadhibu? Sisi tunajua JS ndiyo mwakilishi wetu wa kweli ni shujaa wetu kati ya wabunge wote wa sasa!

Elibariki Kingu ninavyokufahamu! hebu kiri tu kuwa umemnafiki Spika Ndugai kwa kujaribu kumwonesha indirectly kuwa JS yupo sahihi.

Haya wawakilishi wetu - endeleeni kula miposho hiyo isiyokatwa kodi ambayo ni kodi zetu 100%!
Yani kutaja CCM kwa mazuri ni dalili ya kuwa MWEHU.
 
Hakuna kanisa tanzania la kuingiza hiyo pesa kwa wiki
Aisee Kuna yule jamaa mhindi hivi mmiliki wa Agape Tv ,huyo kwanza sadaka inapotolewa inapelekwa madhabahuni inawekwa sakafu ,buku kumi kumi na elfu tano madhabahu inajaa nyukundu na blue tu,hata kama mil 40 haifiki ila wachungaji kama Gwajima ,Mwamposa na huyo jamaa wa tv wanapiga hela nyingi. Imagine mchungaji anaendesha tv na radio anapata kiasi gani
 
Aisee Kuna yule jamaa mhindi hivi mmiliki wa Agape Tv ,huyo kwanza sadaka inapotolewa inapelekwa madhabahuni inawekwa sakafu ,buku kumi kumi na elfu tano madhabahu inajaa nyukundu na blue tu,hata kama mil 40 haifiki ila wachungaji kama Gwajima ,Mwamposa na huyo jamaa wa tv wanapiga hela nyingi. Imagine mchungaji anaendesha tv na radio anapata kiasi gani
Milioni 10 mkuu ukiisabaza kwa elfu 10 10 unazipanga kuanzia Mbezi mwisho mpaka Chalinze
Aisee Kuna yule jamaa mhindi hivi mmiliki wa Agape Tv ,huyo kwanza sadaka inapotolewa inapelekwa madhabahuni inawekwa sakafu ,buku kumi kumi na elfu tano madhabahu inajaa nyukundu na blue tu,hata kama mil 40 haifiki ila wachungaji kama Gwajima ,Mwamposa na huyo jamaa wa tv wanapiga hela nyingi. Imagine mchungaji anaendesha tv na radio anapata kiasi gani
 
Kwa Tanzania yetu sina hakika kama kuna Kanisa lolote linaloingiza kiasi hicho cha fedha kwa sadaka kila jumapili! Kama una chuki naye tafuta namna nyingine ya kumsema.
Tusibishane ndugu yangu wee siku ya jmpl jongea pale usikie sadaka au makusanyo ya jmpl iliopita ndio uje kubisha huku.
Kanisa tena kkkt utoaji ni tofauti na msikiti i mtu ametoa saaana ni 2000.
 
Back
Top Bottom