Deo Castory
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 242
- 754
Hizi za Jumapili ni lazima uingie ofisini na uongee non stop na hazina kiinua mgongo.
Na kudanganya papo!Msaada uliobaki Tanzania ni gwajima tu..ambaye anasema maovu hadharani..
JS hero! Ajabu sana hii!Askofu Mbunge hupata sadaka za kuanzia Ml 40 hadi Ml 60 kwa Jumapili moja. Amekuwa Mnafiki kwa sababu biashara anayofanya hataki kupoteza waumini wake.
Huyu hana tofauti na Kibwetere kwa sababu mahubiri yake ni mipasho na kutisha watu kuombewa hadi kufa.
Jumapili ijayo ni lazima atampasha Mbunge mwenzake Elibariki Kingu na kumtishia kifo! hii yote ili asipoteze sadaka.
Mapato ya Bishop Mbunge huyu kwa Jumapili baada ya kuingia bungeni yaliongezeka sana na kumfanya ajitahidi kubalance kote.
Akipoteza ubunge na mapato yake ya Jumapili yatapotea au kupungua sana. Anacheza na siasa na Imani za watu papo. Mjanaja sana Bishop Mbunge huyu.
Wanasiasa wameanza kumshtukia - sasa tuone atakujaje Jumapili.
Wabunge nao kwa unafiki wao wameamua kumwadabisha na Jerry Silaa ili wasionekana na double standard - Jerry Silaa ahapa ametoka hero.
Eti Elibariki Kingu unadai Jerry ataenda kumwomba msamaha Ndugai - msamaha gani sasa wkt wameshadibu? Sisi tunajua JS ndiyo mwakilishi wetu wa kweli!
Elibariki hebu kiri tu umemnafiki Spika Ndugai kwa kujaribu kumwonesha indirectly kuwa JS yupo sahihi.
Haya wawakilishi wetu - endeleeni kula miposho ambayo ni kodi zetu!
Hata hio 8 m ni nyingi sana zama hiziMiezi 3 iliyopita nimesali pale matangazo sadaka kama sadaka ni 8m nje na michango mingine
Kweli aseeHata hio 8 m ni nyingi sana zama hizi
Mtaa mmoja ndy nn? Kanisa siku hizi linaitwa mtaa?Sadaka za usharika mzima na wewe na siyo mtaa mmoja
kaanzishe kanisa lako upokee sadaka na wewe,Askofu Mbunge hupata sadaka za kuanzia Ml 40 hadi Ml 60 kwa Jumapili moja. Amekuwa Mnafiki kwa sababu biashara anayofanya hataki kupoteza waumini wake.
Huyu hana tofauti na Kibwetere kwa sababu mahubiri yake ni mipasho na kutisha watu kuombewa hadi kufa.
Jumapili ijayo ni lazima atampasha Mbunge mwenzake Elibariki Kingu na kumtishia kifo! hii yote ili asipoteze sadaka.
Mapato ya Bishop Mbunge huyu kwa Jumapili baada ya kuingia bungeni yaliongezeka sana na kumfanya ajitahidi kubalance kote.
Akipoteza ubunge na mapato yake ya Jumapili yatapotea au kupungua sana. Anacheza na siasa na imani za watu papo. Mjanja sana Bishop Mbunge huyu.
Wanasiasa wameanza kumshtukia - sasa tuone atakujaje Jumapili.
Lakini pia - wabunge nao kwa unafiki wao wameamua kumwadabisha na Jerry Silaa ili wasionekane na double standard - Jerry Silaa hapa ametoka HERO wetu.
Eti Elibariki Kingu unadai Jerry ataenda kumwomba msamaha Ndugai - msamaha gani sasa wkt wameshamwadhibu? Sisi tunajua JS ndiyo mwakilishi wetu wa kweli ni shujaa wetu kati ya wabunge wote wa sasa!
Elibariki Kingu ninavyokufahamu! hebu kiri tu kuwa umemnafiki Spika Ndugai kwa kujaribu kumwonesha indirectly kuwa JS yupo sahihi.
Haya wawakilishi wetu - endeleeni kula miposho hiyo isiyokatwa kodi ambayo ni kodi zetu 100%!
Makanisa ya walokole wanakamua zaidiAzania front wanaongoza wakifuatiwa na Arusha kanisa la mjini kati lakini hata wao sadaka kama sadaka hazifiki 15M kwa wiki.
Nitawaambia ninamfufua naniii....kaanzishe kanisa lako upokee sadaka na wewe,
Kule wamejaa watu wajingaMakanisa ya walokole wanakamua zaidi
gananywa, mwamposa, Gwajima, koe davids etc
Utajulia wapi na wewe BashiteMtaa mmoja ndy nn? Kanisa siku hizi linaitwa mtaa?
Yani kutaja CCM kwa mazuri ni dalili ya kuwa MWEHU.Askofu Mbunge hupata sadaka za kuanzia Ml 40 hadi Ml 60 kwa Jumapili moja. Amekuwa Mnafiki kwa sababu biashara anayofanya hataki kupoteza waumini wake.
Huyu hana tofauti na Kibwetere kwa sababu mahubiri yake ni mipasho na kutisha watu kuombewa hadi kufa.
Jumapili ijayo ni lazima atampasha Mbunge mwenzake Elibariki Kingu na kumtishia kifo! hii yote ili asipoteze sadaka.
Mapato ya Bishop Mbunge huyu kwa Jumapili baada ya kuingia bungeni yaliongezeka sana na kumfanya ajitahidi kubalance kote.
Akipoteza ubunge na mapato yake ya Jumapili yatapotea au kupungua sana. Anacheza na siasa na imani za watu papo. Mjanja sana Bishop Mbunge huyu.
Wanasiasa wameanza kumshtukia - sasa tuone atakujaje Jumapili.
Lakini pia - wabunge nao kwa unafiki wao wameamua kumwadabisha na Jerry Silaa ili wasionekane na double standard - Jerry Silaa hapa ametoka HERO wetu.
Eti Elibariki Kingu unadai Jerry ataenda kumwomba msamaha Ndugai - msamaha gani sasa wkt wameshamwadhibu? Sisi tunajua JS ndiyo mwakilishi wetu wa kweli ni shujaa wetu kati ya wabunge wote wa sasa!
Elibariki Kingu ninavyokufahamu! hebu kiri tu kuwa umemnafiki Spika Ndugai kwa kujaribu kumwonesha indirectly kuwa JS yupo sahihi.
Haya wawakilishi wetu - endeleeni kula miposho hiyo isiyokatwa kodi ambayo ni kodi zetu 100%!
Umeona eenhh??.Uongo tupu
Aisee Kuna yule jamaa mhindi hivi mmiliki wa Agape Tv ,huyo kwanza sadaka inapotolewa inapelekwa madhabahuni inawekwa sakafu ,buku kumi kumi na elfu tano madhabahu inajaa nyukundu na blue tu,hata kama mil 40 haifiki ila wachungaji kama Gwajima ,Mwamposa na huyo jamaa wa tv wanapiga hela nyingi. Imagine mchungaji anaendesha tv na radio anapata kiasi ganiHakuna kanisa tanzania la kuingiza hiyo pesa kwa wiki
Nimeshangaa sana kuona jamaa anataja kiasi hiko cha pesaMilion 40 kwa waumini 10000 it means kila muumini anatoa 5000
Je Gwajima anafikishaga waumini 10000 kwa Jpili moja?
Milioni 10 mkuu ukiisabaza kwa elfu 10 10 unazipanga kuanzia Mbezi mwisho mpaka ChalinzeAisee Kuna yule jamaa mhindi hivi mmiliki wa Agape Tv ,huyo kwanza sadaka inapotolewa inapelekwa madhabahuni inawekwa sakafu ,buku kumi kumi na elfu tano madhabahu inajaa nyukundu na blue tu,hata kama mil 40 haifiki ila wachungaji kama Gwajima ,Mwamposa na huyo jamaa wa tv wanapiga hela nyingi. Imagine mchungaji anaendesha tv na radio anapata kiasi gani
Aisee Kuna yule jamaa mhindi hivi mmiliki wa Agape Tv ,huyo kwanza sadaka inapotolewa inapelekwa madhabahuni inawekwa sakafu ,buku kumi kumi na elfu tano madhabahu inajaa nyukundu na blue tu,hata kama mil 40 haifiki ila wachungaji kama Gwajima ,Mwamposa na huyo jamaa wa tv wanapiga hela nyingi. Imagine mchungaji anaendesha tv na radio anapata kiasi gani
Balaa tupuUmeona eenhh??.
Tusibishane ndugu yangu wee siku ya jmpl jongea pale usikie sadaka au makusanyo ya jmpl iliopita ndio uje kubisha huku.Kwa Tanzania yetu sina hakika kama kuna Kanisa lolote linaloingiza kiasi hicho cha fedha kwa sadaka kila jumapili! Kama una chuki naye tafuta namna nyingine ya kumsema.