Tofautisha 'illiteracy' na umasikini, 'poverty'. Panapopatikana sadaka kwa wingi umasikini huwa haupo, pana ujinga. Waumini huhamishwa bongo zao na remote zote kushikiriwa na mchungaji au askofu. Na wahanga wakuu wa utekwaji huu wa akili ni akina mama au wanaume wenye akili zinazoelekeana na hizo. Wapo tayari kupeleka ada ya shule ya mtoto ya millions kwa kuaminishwa watabarikiwa na mtoto.The higher the illiterate rate is the higher the money collected by the pastor...........watu wana kusanya pesa katika hao watu masikini. Imagine hicho ni kiasi ganiView attachment 1919016
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app