Mimi ni mzalendo naipenda nchi yangu toka moyoni mwangu na si kwashawishiwa na mtu yeyote .kwakuwa ni mzalendo wa kuzaliwa naomba niwashauri mamlaka ya kodi yaani TRA kuanzisha utaratibu wa kukusanya kodi toka kwenye hizi nyumba za ibada kwa kila misa ama swala ambayo hufanywa na kiongozi wa dini husika. Kwani tumekuwa tunapoteza mapato mengi kama serikali kushindwa kukusanya kodi kutoka kwenye hizo taasisi husika.
Jambo la kufanya ni kutoa maelekezo kwa uongozi wa kidini kutoa taarifa ya ni lini muda gani ibada itafanyika ili mamlaka ya kukusanya kodi itume muwakilishi wake sehemu husika ya tukio ili kodi ukusanywe kikamilifu.
Hizi hela ambazo serikali imekuwa ikiwaachia hawa viongozi wa dini bila kukata kodi wamekuwa wakizitumia kwenye masuala yasiyo ya manufaa kwajamii kwa mfano viongozi wengine wa dini wamekuwa wakizitumia hizi hela kugombanisha ndoa za watu kwa kuingilia mapenzi ya wandoa kwa kuzini na mmoja wa wanandoa kwakutumia hela tunazotoa kama sadaka ama zaka.
Pia wengine wamekuwa walevi wa pombe kupindukia huku wakiiacha jamii waliojitolea hizo hela wakiwa na maisha duni.
Kwakuwa serikali yetu ni sikivu tunaomba wakusanye hizo hela ili watuletee maendeleo kama tuliyoyaona kwenye serikali ya awamu ya tano.
Hongera uongozi wa awamu ya sita kwa kuendelea kukusanya kodi kwa ufanisi mkubwa ili mtuletee mandeleo endelevu kama tunayoyaonda yakifanyika Chato basi kwa hela hizi mtakazokusanya kupitia taasisi za dini mkajenge Tanzania ya kisasa.
Kwa kumalizia katika kufanikisha hizi hela kutoka taasisi za dini zinakusanywa ipasavyo kwa wale wasiotaka kuhudhuria kwenye ibada siku husika serikali iwatoze kodi kubwa mara zaidi ili kuhasisha watu kupenda ibada na kumtumikia Mungu wao huku wakitoa sadaka na zaka kwa maendeleo yao.
Naomba viongozi wa dini mtakaolisoma andiko hili mniunge mkono kwa kuishauri serikali ukusanye hela toka kwenye taasisi zenu ili tupate maendeleo ya jumla kwa haraka kupitia serikali yetu hii ya awamu ya sita.
Kwa pamoja tunaweza hapa kazi tu, kasi zaidi maendeleo zaidi. Mitano tena. Songa mbele jembe kwa pamoja tulitumikie Taifa letu kupitia Mungu wetu.
Jambo la kufanya ni kutoa maelekezo kwa uongozi wa kidini kutoa taarifa ya ni lini muda gani ibada itafanyika ili mamlaka ya kukusanya kodi itume muwakilishi wake sehemu husika ya tukio ili kodi ukusanywe kikamilifu.
Hizi hela ambazo serikali imekuwa ikiwaachia hawa viongozi wa dini bila kukata kodi wamekuwa wakizitumia kwenye masuala yasiyo ya manufaa kwajamii kwa mfano viongozi wengine wa dini wamekuwa wakizitumia hizi hela kugombanisha ndoa za watu kwa kuingilia mapenzi ya wandoa kwa kuzini na mmoja wa wanandoa kwakutumia hela tunazotoa kama sadaka ama zaka.
Pia wengine wamekuwa walevi wa pombe kupindukia huku wakiiacha jamii waliojitolea hizo hela wakiwa na maisha duni.
Kwakuwa serikali yetu ni sikivu tunaomba wakusanye hizo hela ili watuletee maendeleo kama tuliyoyaona kwenye serikali ya awamu ya tano.
Hongera uongozi wa awamu ya sita kwa kuendelea kukusanya kodi kwa ufanisi mkubwa ili mtuletee mandeleo endelevu kama tunayoyaonda yakifanyika Chato basi kwa hela hizi mtakazokusanya kupitia taasisi za dini mkajenge Tanzania ya kisasa.
Kwa kumalizia katika kufanikisha hizi hela kutoka taasisi za dini zinakusanywa ipasavyo kwa wale wasiotaka kuhudhuria kwenye ibada siku husika serikali iwatoze kodi kubwa mara zaidi ili kuhasisha watu kupenda ibada na kumtumikia Mungu wao huku wakitoa sadaka na zaka kwa maendeleo yao.
Naomba viongozi wa dini mtakaolisoma andiko hili mniunge mkono kwa kuishauri serikali ukusanye hela toka kwenye taasisi zenu ili tupate maendeleo ya jumla kwa haraka kupitia serikali yetu hii ya awamu ya sita.
Kwa pamoja tunaweza hapa kazi tu, kasi zaidi maendeleo zaidi. Mitano tena. Songa mbele jembe kwa pamoja tulitumikie Taifa letu kupitia Mungu wetu.