.........Sad........Abanwa na Kichwa cha Scania na Kufariki Papo Hapo

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,141
13,215
Ikifika imefika jameni, wakati wowote ule unaondoka duniani...........tingo huyu alinyanyua kichwa cha scania kwa minajili ya kutengeneza gari na kikarudi n kumbana papo hapo na umauti ukamfika pasi na hata saburi

IMG-20160708-WA0006[1].jpg
 
Utakuwa umemuona yule gelofrend wa the deceased kule marekani aliyeamua kurekodi video ya my boyfrendi wake akikata roho
Afadhali huyo alifikili watamhurumia hao maana ni 'watu' kumbe ni 'viatu', lakini huyu wa kufunikwa na lori mpiga picha ameungana na uviatu kabisa.
 
Afadhali huyo alifikili watamhurumia hao maana ni 'watu' kumbe ni 'viatu', lakini huyu wa kufunikwa na lori mpiga picha ameungana na uviatu kabisa.

Halafu wakiwa wanachukua picha zao ole wako ukatize mbele... hatari sana
 
So sad.. Ama kweli hatuijua siku wala saa..
Ha huyo mpiga picha nae cjui ndo hao kina be the first to reply
 
huyo msichana mjinga sana pambavu sana
Msichana nimempenda sana na ni kichwa sana.... Asingerekodi kusingekuwa na justice.. Na ukweli usingejulikana... Sasa bora msichana .. Katoto kao ka miaka minne kalimwambia mama yake .. Nipo hapa mama stay strong... Naisifa sana ile familia.. Kuliko angalia lia kama mwanamke wa kisukuma mwishowe haki ya mumewe ingepotea
 
Daa!!vp mkuu hajaacha mzigo kidogo kwa nyuma mkimkagua??duu! Poleni wafiwa!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom