Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,053
- 33,907
Thibitisha hiloUnamjua?
Utakua mwenzake tu
Thibitisha hiloUnamjua?
Utakua mwenzake tu
Lazima wakamatwe kwanza wapewe mbinyo watajane ndio wadedishweKwa hiyo wanakamatwa ndo baadae wanapewa pipe, mi nikadhani wanapewa pipe hukohuko kwenye eneo walipokamatiwa.
Kuna uwezekano huyu walimfundisha kuendesha gari...Duh!
Huyu si mtoto mdogo kabisa
Nilishawahi kuibiwa ofcn kwangu,Huyo kazi yake anabinjushwa kuingia nyumba za watu,grill ikitanuliwa hyo anatangulizwa ndy wanavyotumika
Kuna wengine wana miaka mpaka 13,14
Ova
Labda inaweza kusaidia kutambua alama niyingine, ambazo wapelelezi wanaweza kuzitambua..??Ukivaa kofia na miwani CCTV ni kazi bure
Wangapi hawana ajira ila hawaibi,hawapori na hawadhuru watu ?Ukosefu wa ajira kwa vijana ni BOMU linalosubiriwa kulipuka. Mungu aepushie mbali tusije kutengeneza Bokoharam wetu!
Nigeria nao walikuwa na mentality kama hii... waliona Bokoharam ni vinyangalika fulani tu hivi - mara ikawa BOOOOM!!!Wangapi hawana ajira ila hawaibi,hawapori na hawadhuru watu ?
Huu ujinga ni kujiendekeza tu.
Mwizi kama adui yako tu,usiombe ukutane na adui yako ana kwa ana. Hawa adhabu yao aidha kifo au kuwafanya wasiibe tena,unakata mikono tu,kulingana na makosa yao.
Kuna muda huwa naona hizi mahakama na magereza ni kupoteza mali bure na kupotezea watu muda.
Ishu ya Boko Haramu ni tofauti na hii.Nigeria nao walikuwa na mentality kama hii... waliona Bokoharam ni vinyangalika fulani tu hivi - mara ikawa BOOOOM!!!
imekaa ki Jei kei tii by look of it1. Kaburu Mohamed kaburu,(30),Mkazi wa Buza Kanisani.
2. Iddi Ally Kiduku, Miaka 30, Mkazi wa Tandika.
3. Said Ramadhani @Timu, Miaka 33, Mkazi wa Kitunda.
4. Lucas Danford@Udongo wa Maka, Miaka 31, Mkazi wa Buguruni
5. Shaban Bakari@Majani, Miaka 33, Mkazi wa Tandika kaburi moja.
6. Khamis Bahati Chief, Miaka 38, Mkazi wa Buza kwa mama kibonge
Hii imekaaje Wadau?
Naunga mkono hoja.
Hii tabia ya kutumia demokrasia kupambana na watu wanao tumia silaha za moto haitofanikiwa kamwe kamwe ni lazima tuwe wawazi hawa watu wanapaswa kuchapwa risasi tuu kama ilivyokuwa kipindi cha Magu..
Hawa wapumbavu kuwakamata kama vile ni wezi wa vijiko ni ujinga na tunao teseka ni wakazi wa dares-salaam yani watu wanavamia hadi suma jk halafu unawakamata kidemokrasi hivi halafu useme uhalifu utakwisha kweli?
Lazima tuseme ukweli dawa ya moto ni moto sasa hivi dar kuna hofu kubwa ya ujambazi na njia ya kuumaliza ni kuwapa taarifa wenzao wameuwawa wakiwa wanapambana na jeshi la polisi.
Hawa wanapaswa kutwanga risasi tuu sio kuleta story za kuwakamata