kantalambaz
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 1,878
- 872
Umelewa gongo wewe hadi harufu inasikika humu JFSasa mbona huyu wa kwetu yupo hatarini zaidi kulinganisha na huyo wa Uganda? Duh hatimaye Mwigulu na Sirro watapanda rasmi pale juu! Siyo kwa kupotea huko watu, kuuawa, kupigwa risasi na miili kuokotwa!