Sabufa inauzwa..tusaidiane nitatue shida yangu

Aldosterone

Member
Feb 13, 2019
9
3
Sabufa aina ya SeaPiano SP -871 inauzwa kwa bei ya Tsh 75k(bei ya mwisho)...Nimepatwa na shida inabidi niitatue mara moja

Ina mwezi mmoja tangu inunuliwe na kila kitu kipo hadi boksi

Nipo Majohe G/Mboto..0738354315

Tusaidiane waungwana
 

Attachments

  • IMG_20190219_090901.jpg
    IMG_20190219_090901.jpg
    106.9 KB · Views: 62
  • IMG_20190219_090943.jpg
    IMG_20190219_090943.jpg
    110.9 KB · Views: 49
  • IMG_20190219_090916.jpg
    IMG_20190219_090916.jpg
    112.1 KB · Views: 65
  • IMG_20190219_090928.jpg
    IMG_20190219_090928.jpg
    115.1 KB · Views: 37
Zile sea piano za miaka ile,nyeupe hivi hazina usb,remote/SD wala nini.

Zina ule waya wa kuchomea kwny simu ukitaka kusikiliza mziki/kwny PC zilikua zinapiga vzr sana.
Analogs ndio zilikuwa za ukweli sana. Hizi zenye digital circuit zinazengua mziki wake sio mzuri kama wa zile old model zenye knobs!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom