Sabufa inauzwa..tusaidiane nitatue shida yangu

Aldosterone

Member
Feb 13, 2019
9
3
Sabufa aina ya SeaPiano SP -871 inauzwa kwa bei ya Tsh 75k(bei ya mwisho)...Nimepatwa na shida inabidi niitatue mara moja

Ina mwezi mmoja tangu inunuliwe na kila kitu kipo hadi boksi

Nipo Majohe G/Mboto..0738354315

Tusaidiane waungwana
 

Attachments

  • IMG_20190219_090901.jpg
    IMG_20190219_090901.jpg
    106.9 KB · Views: 62
  • IMG_20190219_090943.jpg
    IMG_20190219_090943.jpg
    110.9 KB · Views: 49
  • IMG_20190219_090916.jpg
    IMG_20190219_090916.jpg
    112.1 KB · Views: 65
  • IMG_20190219_090928.jpg
    IMG_20190219_090928.jpg
    115.1 KB · Views: 37
Zile sea piano za miaka ile,nyeupe hivi hazina usb,remote/SD wala nini.

Zina ule waya wa kuchomea kwny simu ukitaka kusikiliza mziki/kwny PC zilikua zinapiga vzr sana.
Analogs ndio zilikuwa za ukweli sana. Hizi zenye digital circuit zinazengua mziki wake sio mzuri kama wa zile old model zenye knobs!
 
Back
Top Bottom