Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,189
- 79,420
acha ubaguzi...! kutoa ni moyo...!wamepima upepo wamejua ccm hoi na chadema itachukuwa nchi siku si nyingi na bahati mbaya wanajua hatuwapendi,kazi kwao1!
acha ubaguzi...! kutoa ni moyo...!wamepima upepo wamejua ccm hoi na chadema itachukuwa nchi siku si nyingi na bahati mbaya wanajua hatuwapendi,kazi kwao1!
Nasikia CCM wanampango wa kumpokonya kadi ya uanachama kwa style ya kumdhalilisha ili kama kuna mwana CCM mwingine ajifunze asifanye kama sabodo
Pendekeza huo utaratibu wa kuwatambua wachangiaji usisubiri kukosoa.
For good order's sake; thread hii haijaletwa na Chadema
wamepima upepo wamejua ccm hoi na chadema itachukuwa nchi siku si nyingi na bahati mbaya wanajua hatuwapendi,kazi kwao1!
Mfanya biashara maarufu nchini Mustafa Sabodo leo hii ametoa Sh 100 milioni kwa Chadema kukipongeza chama hicho kwa ushindi wa Nassari huko Arumeru. Hafla hiyo imefanyika nyumbani kwa Sabodo na kumkabidhi katibu Mkuu wa CDM, Dr W. Slaa.
Hii ni nyingine tena au ndio ile ile ya visima alivyokuwa ameahidi awali? Hata hivyo pongezi zakeMfanya biashara maarufu nchini Mustafa Sabodo leo hii ametoa Sh 100 milioni kwa Chadema kukipongeza chama hicho kwa ushindi wa Nassari huko Arumeru. Hafla hiyo imefanyika nyumbani kwa Sabodo na kumkabidhi katibu Mkuu wa CDM, Dr W. Slaa.
Mkuu huyu Sabodo ni kati ya wahindi wachache wenye uzalendo sana na nchi hii toka enzi za Mwl Nyerere!pia huyu mzee biashara zake hazina magumashi na hana skendo hata moja ndio maana c.c.m wanashndwa kumgusa!......
Nasikia CCM wanampango wa kumpokonya kadi ya uanachama kwa style ya kumdhalilisha ili kama kuna mwana CCM mwingine ajifunze asifanye kama sabodo
Wengine hawataki kutangazwa, bado ni viongozi wa CCM.