Lepapalongo
Member
- Jan 28, 2009
- 92
- 11
Kwa masikitiko wana jf leo majira ya saa sita kamili mchana basi namba T 264 ATH likitokea kyela kwenda dar lapata ajari maeno ya tanangozi Iringa baada ya tairi ya mbele kupasuka na kuacha njia kisha kupinguka kwa kulalia ubavuni.Tumeshuhudia tukiwa katika basi la hekima idadi ya wajeruhi haijafahamika na kama imeua ila watu wavunjika viuno picha nafanya jinsi ya kuapload.