Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,621
- 16,373
Sir buyer ana kazi nzito aisee...
Jinsi MATAGA mnavyoteseka na lugha ya Malkia. Najua hapa umechangia bila kuelewa kilichoandikwa.Ujinga mtupu
Kingereza kimekupiga chenga intaprinyuwaa mkubwa wewe.Ujinga mtupu
Hii ni hirizi ya JPM mkuuThey should also include that bandit namely Paul Makonda former commander in chief for Dar es Salaam region , that boy was even worse than Sabaya
Nakuhakikishia hawawezi kukosekanaHivi wale vichaa waliojaribu kumtetea huyu Sabaya bado wapo?
Mataga, where are you suffering from? Are you 'suffering' from Chattle to Busisi or!Check some bolts in your head
Yawezekana kulikuwa na sababu ya kwa nini TAKUKURU haikumchunguza wakati huo na sasa ni wakati muafaka kumchunguza na bila shaka ikibainika ni innocent atakuwa huru.swali moja ninalo jiuliza,
kwa nini sasa watu ndio wajitokeze kumlalamikia? kwani wakati huo TAKUKURU haikuwepo?
aise haya maajabu ya Tanzania!!!
yaani hapo sasa vyonbo vyetu vinakaribisha majungu na fitina ndicho kitakacho endelee, na kwa mwendo huuu kila kiongozi lazima ataumia.
Ila ushauri wangu kwa Takukuru isikubali kupelekwa na maneno maneno ya majungu, ifanye kazi kwa weledi, kamwe isiendekeze maneno ya chuki na fitina, Majungu tupa kuleeeee!!! msipotezewe muda na rasilimali zenu kwa mambo ya kuokoteza na visasi.
jaribu kuficha upumbavu wakoswali moja ninalo jiuliza,
kwa nini sasa watu ndio wajitokeze kumlalamikia? kwani wakati huo TAKUKURU haikuwepo?
aise haya maajabu ya Tanzania!!!
yaani hapo sasa vyonbo vyetu vinakaribisha majungu na fitina ndicho kitakacho endelee, na kwa mwendo huuu kila kiongozi lazima ataumia.
Ila ushauri wangu kwa Takukuru isikubali kupelekwa na maneno maneno ya majungu, ifanye kazi kwa weledi, kamwe isiendekeze maneno ya chuki na fitina, Majungu tupa kuleeeee!!! msipotezewe muda na rasilimali zenu kwa mambo ya kuokoteza na visasi.
Soma vizuri ,tunamagazeti mawili mwananchi(linalotumia lugha ya nyerere,kiswahili na The citizen linalotumia lugha ya malkia.Bo's wa takukuru aliongea na mwandishi wa gazeti LA the citizen kwanjia ya simu toka arusha/moshi.lazima iwehivyoGood news! But why using Queen's language?